Mimi nimesoma Engineering,Coet,miaka hiyo....
Na mahali wanapofeli kisawasawa hua ni engineering,you know this....
Mimi mfanyabiashara na sipo kwenye kazi za kufundisha vyuoni
Nipo hapa naangalia pragmatically hoja zenu za kipumbavu
Maprofessor ni watu kama mimi na wewe,na wapo pale kutafuta kipato,na kama ana beef na wewe makusudi atakufelisha wewe au watatu au wanne au maximum tufanye 20
Ila watoto LLB hua ni zaidi ya 300,hua semester moja wanafeli 150...tuseme prof anawajua wote na ana chuki binafsi na mmoja mmoja wote hao?Jibu ni hapa
Jawabu sahihi ni kwamba,hao watoto wamefeli sababu ya bongo zao mbovu,nothing prof gains or loose kwa wewe kufeli,mshahara wake upo pale pale regardless
Ni upumbavu na ujinga wa bongo zenu za hovyo na hamfai kusoma hiyo fani nendeni mkasome mambo mengine yenye kuhitaji vichwa vibovu..thats the FACT
Na wewe kusoma hapo na kua na ndugu na watoto na blah blah zingine ni useless hapa,wote mna akili mbovu ndio maana ulianza kufeli wewe na watafuata hao ndugu zako wote...hamna mental capability ya ku-process hiyo course,msilazimishe kafanyeni mengine au mridhike na marks mtakazopata muende na maisha yenu
Na wewe kua na hela zaidi ya maprof who cares?Nani even wants to know una kiasi gani cha pesa?Thats your money,its none of anybody's business...kila mtu ana kipato chake,kama chako kikubwa ni chako with your own family
Hapa unaonesha makasiriko tu yasiyo na maana...mitihani ilikunyoosha,sad enough usilaumu wanadamu wengine,pangusa matako kafanye maisha yako upate mahela mengi hayo unayosemea punguza kulaumu wengine wanaotimiza kazi zao za kukutahini