Kitivo cha sheria udsm hakunaga 1st class, why?

Ndiyo alimaanisha hivyo nilikuja Kuamin siku naenda field nawakalisha chini kuwafundisha namna ya kuandika memorandum of agreed facts
Kuna mdogo wangu alisoma college moja mwanza kahangaika Sana kisa kukaa na mtoto WA lecture [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ndiyo alimaanisha hivyo nilikuja Kuamin siku naenda field nawakalisha chini kuwafundisha namna ya kuandika memorandum of agreed facts
pale mwalimu anakuja kukufundisha kidogo afu anasema kasome mwenyewe, na mwalimu ni muungu mtu, ukimzingua atakukalisha udisco. nasema toka moyoni, Mungu alinisaidia baada ya hapo nikasoma Masters Ulaya, waalimu kule wanakufundisha kwa kukusaidia uelewe kabisa, na ni marafiki. udsm wanakukandamiza ili ufeli maisha ufanane na wao. ni hii awamu ya magufuli tu amewabeba wengi, ila isingekuwa hivyo, wengi wanaishiaga kutazama tu wanafunzi waliowakandamiza wanavyochanja mbuga kimaisha, na ajabu yake, watoto wao wenyewe huwa hawaji kuwa waalimu, wanakuja kuajiliwa au kuwa chini ya hao hao wanafunzi waliowasomesha. sasa asijulikane jina, mfano waliosoma pale, yule profesa aliyestaafu wa Land, ati mtu aitwe tu kwa jina lake la ukoo, hakuna lawyer atakayemsaidia hata kimkuta mikumi anataka kuliwa na simba.(kidding).
 
Kuna mdogo wangu alisoma college moja mwanza kahangaika Sana kisa kukaa na mtoto WA lecture [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
sina hakika sana na hiyo college hujaitaja jina.. ila haya mambo yapo
 
Shida ni hiyo ... japo kila chuo kina ujinga wake

Nikija kuwa Lecturer naomba Mungu aniepushe na hizi akili za kukomoa mtu...
 
Shida ni hiyo ... japo kila chuo kina ujinga wake

Nikija kuwa Lecturer naomba Mungu aniepushe na hizi akili za kukomoa mtu...
unakomoa mtu, anapambana wee, alafu anakuja kuajiri mtoto wako au anakuajiri wewe mwenyewe kwasababuk ilawfirm chako wewe lecturer hakina kichwa wala miguu. dunia ni kigeugeu sana. malecturer hao karibia wote wale wenye uwezo kupractice, vilawfirm vyao ni kama vya uswahilini tu (ondoa Doctor wangu, Dr. Tenga), na wengine wameajiriwa na wanafunzi wao ambao waliwanyima first class.
 
Dr Tenga ni mtu na nusu kila mtu anamuappreciate hata Dr wangu aliyenifundisha Land alipita mikononi mwake...
 
nina watoto na wadogo zangu na ndugu zangu ambao wanasoma na wengine watasoma hapo. pia, icho chuo sio mali yenu, ni chuo cha umma, ni cha watanzania, usinipangie cha kuongea kwenye chuo changu. au alijenga baba yako icho?
 
kumbe najibizana na mtu aliyesoma coet? ningejua hilo nisingepoteza muda wangu. akili za coet hazina uwezo kujadili na mwanasheria. hebu tupishe.
 
Mtu mwenye akili njema hawezi leta uzi wa namna hii. Bado mtoto weye kua uyaone.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…