Kitu ambacho Membe hatokaa amsamehe Rais Magufuli maishani!

Kitu ambacho Membe hatokaa amsamehe Rais Magufuli maishani!

..ni vizuri waTz wakaanza kuchangamkia nafasi za ajira zinazopatikana ktk mashirika ya kimataifa kama UN, AU, EAC, Sadc, Jumuiya ya Madola, WB, IMF, etc etc.

..wasomi wa Kitanzania wajaribu kutafuta ajira za chini na za kati ktk mashirika hayo na baadae wapande ngazi mpaka nafasi za juu.
 
Huyo Membe akubali tu sasa akalime korosho na kuendesha hotel yake. Mambo ya siasa yamekwisha mpita mkono wa kushoto hivyo akubali tu yaishe kwani hakuna jinsi Jiwe atakuja kumfikiria kwa nafasi yeyote!!
Katika hali ya kawaida ni ngumu Sana kuwatengeneza viongozi wapya kuliko kuwatunza waliokwisha Iva.

Rais anakosea sana anapoona viongozi wote waliomtangulia hawakuongoza vizuri nchi hii.

Kibaya zaidi anazalisha viongozi wasiokuwa na vipaji vya uongozi Kama yeye alivyo.
 
Maria Sarungi kapost kuwa Serikali hii imewawekea ngumu Dr. Likwilile na Madam Mulamula kupata post huko AU!!

Kama ni kweli basi "Malaika Mkuu" sio kabisa
 
Maria Sarungi kapost kuwa Serikali hii imewawekea ngumu Dr. Likwilile na Madam Mulamula kupata post huko AU!!

Kama ni kweli basi "Malaika Mkuu" sio kabisa

..wangekuwa wamejikita UN, AU, WB, IMF, etc toka wakiwa ktk ajira za chini leo wasingelazimika kuwalamba miguu wakubwa serikalini.
 
..akisalimu amri mbele ya Jpm mtaanza kumpamba na kumsifia.

..sasa hivi Membe ni mbaya kwasababu ametofautiana na mwenyekiti.

Atasifia atakayesifia, lakini sio mimi. The guy isn’t smart enough to know what works and what doesn’t. His whole approach after the 2015 loss wouldn’t work anywhere (in any political party). He is dumb! Period.
 
Nawasalimu wanabodi.

Mwaka 2015 Mwanadiplomasia mahiri na kachero mbobezi Bernard Membe alijaribu kuusaka Urais kupitia CCM lakini akakatwa jina lake hatua za mwisho.

Macho na masikio ya wengi yalikuwa ni kwa Edward Lowassa na Membe lakini ngekewa ikamdondokea John Magufuli ambaye sasa ni Rais.

Mwaka 2016 mwezi Machi Jumuiya ya Madola (CommonWealth) ilitoa nafasi ya Katibu Mkuu wa Jumuiya hiyo ambapo ilikuwa ni zamu ya Afrika Mashariki kumtoa mtu. Wakuu wa nchi za Afrika Mashariki ilipendekeza mtu huyo atoke Tanzania huku wakipendekeza awe ni Membe. Utarayibu wa Jumuiya hiyo ni kwamba anayependekezwa lazima apate kibali na ruhusa ya mkuu wa nchi yake.

Kinachosikitisha, Rais Magufuli akamwekea "bambi" Membe na nafasi hiyo ikaenda nchi nyingine. Membe akakosa nafasi hiyo.

Kama angefanikiwa kwanza angeenda kuishi jijini London. Angelipwa mshahara wa $50,000 kwa mwezi. Marupurupu $23,000, angesafiri na ujumbe wa watu 25 kila safari ya kikazi. Hizo ni faida binafsi.

Faida za kinchi ni pamoja na kupaa kidiplomasia duniani tofauti na sasa ambapo diplomasia yetu inaishia Buguruni. Tanzania ingezidi kusifika kwa kutoa viongozi hodari katika ngazi ya kidunia baada ya kina Dk. Salim Ahmed Salim, Dk. Asha-Rose Migiro, Balozi Mahiga (marehemu) nakadhalika. Unajiuliza ni kwa nini Magufuli alimkatili Bernard Membe?

Namshauri Magufuli, vichwa vya watu kama Membe si wa kuacha kuzurura nje ya utawala. Ni watu wa kuwa nao karibu. Mchukue Membe awe mshauri wako wa masuala ya diplomasia na usalama.

Nawasilisha!
Ndio mambo ya jiwe hayo
 
Mzee dk ya 90 toka siku iyo nilimpuuza kujifanya yy ni MANCHESTER ya mzee Fagason
 
Atasifia atakayesifia, lakini sio mimi. The guy isn’t smart enough to know what works and what doesn’t. His whole approach after the 2015 loss wouldn’t work anywhere (in any political party). He is dumb! Period.

..kosa lake ni kutokumlamba miguu bwana mkubwa.

..angemuiga Mzee Lukuvi; hajasoma lakini anajua jinsi ya kuishi na Jpm.
 
Nawasalimu wanabodi.

Mwaka 2015 Mwanadiplomasia mahiri na kachero mbobezi Bernard Membe alijaribu kuusaka Urais kupitia CCM lakini akakatwa jina lake hatua za mwisho.

Macho na masikio ya wengi yalikuwa ni kwa Edward Lowassa na Membe lakini ngekewa ikamdondokea John Magufuli ambaye sasa ni Rais.

Mwaka 2016 mwezi Machi Jumuiya ya Madola (CommonWealth) ilitoa nafasi ya Katibu Mkuu wa Jumuiya hiyo ambapo ilikuwa ni zamu ya Afrika Mashariki kumtoa mtu. Wakuu wa nchi za Afrika Mashariki ilipendekeza mtu huyo atoke Tanzania huku wakipendekeza awe ni Membe. Utarayibu wa Jumuiya hiyo ni kwamba anayependekezwa lazima apate kibali na ruhusa ya mkuu wa nchi yake.

Kinachosikitisha, Rais Magufuli akamwekea "bambi" Membe na nafasi hiyo ikaenda nchi nyingine. Membe akakosa nafasi hiyo.

Kama angefanikiwa kwanza angeenda kuishi jijini London. Angelipwa mshahara wa $50,000 kwa mwezi. Marupurupu $23,000, angesafiri na ujumbe wa watu 25 kila safari ya kikazi. Hizo ni faida binafsi.

Faida za kinchi ni pamoja na kupaa kidiplomasia duniani tofauti na sasa ambapo diplomasia yetu inaishia Buguruni. Tanzania ingezidi kusifika kwa kutoa viongozi hodari katika ngazi ya kidunia baada ya kina Dk. Salim Ahmed Salim, Dk. Asha-Rose Migiro, Balozi Mahiga (marehemu) nakadhalika. Unajiuliza ni kwa nini Magufuli alimkatili Bernard Membe?

Namshauri Magufuli, vichwa vya watu kama Membe si wa kuacha kuzurura nje ya utawala. Ni watu wa kuwa nao karibu. Mchukue Membe awe mshauri wako wa masuala ya diplomasia na usalama.

Nawasilisha!
Umetumwa si bure
 
..kosa lake ni kutokumlamba miguu bwana mkubwa.

..angemuiga Mzee Lukuvi; hajasoma lakini anajua jinsi ya kuishi na Jpm.

Tatizo wala sio hilo. Tatizo ni kujaribu kufanya kitu ambacho kisingewezekana ndani ya chama chochote kile, katika arena ya siasa za Tanzania!
 
Nawasalimu wanabodi.

Mwaka 2015 Mwanadiplomasia mahiri na kachero mbobezi Bernard Membe alijaribu kuusaka Urais kupitia CCM lakini akakatwa jina lake hatua za mwisho.

Macho na masikio ya wengi yalikuwa ni kwa Edward Lowassa na Membe lakini ngekewa ikamdondokea John Magufuli ambaye sasa ni Rais.

Mwaka 2016 mwezi Machi Jumuiya ya Madola (CommonWealth) ilitoa nafasi ya Katibu Mkuu wa Jumuiya hiyo ambapo ilikuwa ni zamu ya Afrika Mashariki kumtoa mtu. Wakuu wa nchi za Afrika Mashariki ilipendekeza mtu huyo atoke Tanzania huku wakipendekeza awe ni Membe. Utarayibu wa Jumuiya hiyo ni kwamba anayependekezwa lazima apate kibali na ruhusa ya mkuu wa nchi yake.

Kinachosikitisha, Rais Magufuli akamwekea "bambi" Membe na nafasi hiyo ikaenda nchi nyingine. Membe akakosa nafasi hiyo.

Kama angefanikiwa kwanza angeenda kuishi jijini London. Angelipwa mshahara wa $50,000 kwa mwezi. Marupurupu $23,000, angesafiri na ujumbe wa watu 25 kila safari ya kikazi. Hizo ni faida binafsi.

Faida za kinchi ni pamoja na kupaa kidiplomasia duniani tofauti na sasa ambapo diplomasia yetu inaishia Buguruni. Tanzania ingezidi kusifika kwa kutoa viongozi hodari katika ngazi ya kidunia baada ya kina Dk. Salim Ahmed Salim, Dk. Asha-Rose Migiro, Balozi Mahiga (marehemu) nakadhalika. Unajiuliza ni kwa nini Magufuli alimkatili Bernard Membe?

Namshauri Magufuli, vichwa vya watu kama Membe si wa kuacha kuzurura nje ya utawala. Ni watu wa kuwa nao karibu. Mchukue Membe awe mshauri wako wa masuala ya diplomasia na usalama.

Nawasilisha!
Kuchalenji chama ndiyo shida
 
..faida nyingine ingekuwa ni Watanzania kupata nafasi za kazi ktk sekretariet ya Jumuiya ya Madola.

..kama Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Madola angetoka Tz basi lazima baadhi ya key position ktk Ofisi yake zingejazwa ni Watanzania.
Sijawai kumuelewa Mafuguli
 
Umesahau Kufungia Fastjet ukitaka kujua Membe anahusishwaje na fastjet niulize
 
Sijawai kumuelewa Mafuguli

..kuna jamaa alikuwa mkurugenzi ktk shirika moja hapa Tz.

..alipoomba kazi ktk shirika la kimataifa akatumbuliwa.

..ni bahati kwamba jamaa alipata kazi ktk shirika hilo.

..nadhani Jiwe hapendi waTz wenye "kolifikeshen" za kupata ajira ktk mashirika au makampuni ya kimataifa.
 
..kuna jamaa alikuwa mkurugenzi ktk shirika moja hapa Tz.

..alipoomba kazi ktk shirika la kimataifa akatumbuliwa.

..ni bahati kwamba jamaa alipata kazi ktk shirika hilo.

..nadhani Jiwe hapendi waTz wenye "kolifikeshen" za kupata ajira ktk mashirika au makampuni ya kimataifa.
Sitak kuji expose sana japo unanitaja kwa mafumbo
 
Katika masuala ya Sera za uchumi sjawah mkubali JPM, huyu mwamba ni one way thinking , Hana upeo mkubwa wa kufikri na kuongoza, japo amejaaliwa uwezo mkubwa wa usimamizi..... JPM Hana Sera yyte ya kuwasaidia watanzania kujikwamua na umaskini na yyte anyefikr JPM ni mtu sahihi Kwa uchumi wa nchi anajidanganya ....
 
Kazi kweli kweli, Umeandika lugha gani mkuu usiofuata kanuni za uandishi

English ina miundo na mifumo

"Rubbish content ever posted" unaelewa ulichoandika

"Content" means you have understood concept and details of the writer

"Rubbish" means negation of what you have understood

"Rubbish Content" Hakuna kiingereza kama hicho cha kukubali na kuikataa sentensi labda kama unatafsiri kichaga kwenda kiswahili halafu kwenda kiingereza

Haya ndio madhara ya kutafsiri kiswahili na kuandika kwa kiingereza

Hakika wapumbavu hawataisha nchi hii

Madhara ya shule za kata na vyuo vya kata haya ndio mavuno yake

Utaweza wewe kuongea kiingereza kwa dakika tano kwa uandishi wa hovyo namna hiyo

English ni somo pana sana ukitaka ujifunze nenda kwa watu wanaoongea lugha hiyo tu mwezi mzima bila kuchanganya utajifunza kitu

Achana na walimu wako wa kata hao nao ni vilaza kama wewe
mkuu habari za hapo IST[emoji38][emoji38].
 
Back
Top Bottom