Katika hali ya kawaida ni ngumu Sana kuwatengeneza viongozi wapya kuliko kuwatunza waliokwisha Iva.Huyo Membe akubali tu sasa akalime korosho na kuendesha hotel yake. Mambo ya siasa yamekwisha mpita mkono wa kushoto hivyo akubali tu yaishe kwani hakuna jinsi Jiwe atakuja kumfikiria kwa nafasi yeyote!!
Maria Sarungi kapost kuwa Serikali hii imewawekea ngumu Dr. Likwilile na Madam Mulamula kupata post huko AU!!
Kama ni kweli basi "Malaika Mkuu" sio kabisa
..akisalimu amri mbele ya Jpm mtaanza kumpamba na kumsifia.
..sasa hivi Membe ni mbaya kwasababu ametofautiana na mwenyekiti.
Ndio mambo ya jiwe hayoNawasalimu wanabodi.
Mwaka 2015 Mwanadiplomasia mahiri na kachero mbobezi Bernard Membe alijaribu kuusaka Urais kupitia CCM lakini akakatwa jina lake hatua za mwisho.
Macho na masikio ya wengi yalikuwa ni kwa Edward Lowassa na Membe lakini ngekewa ikamdondokea John Magufuli ambaye sasa ni Rais.
Mwaka 2016 mwezi Machi Jumuiya ya Madola (CommonWealth) ilitoa nafasi ya Katibu Mkuu wa Jumuiya hiyo ambapo ilikuwa ni zamu ya Afrika Mashariki kumtoa mtu. Wakuu wa nchi za Afrika Mashariki ilipendekeza mtu huyo atoke Tanzania huku wakipendekeza awe ni Membe. Utarayibu wa Jumuiya hiyo ni kwamba anayependekezwa lazima apate kibali na ruhusa ya mkuu wa nchi yake.
Kinachosikitisha, Rais Magufuli akamwekea "bambi" Membe na nafasi hiyo ikaenda nchi nyingine. Membe akakosa nafasi hiyo.
Kama angefanikiwa kwanza angeenda kuishi jijini London. Angelipwa mshahara wa $50,000 kwa mwezi. Marupurupu $23,000, angesafiri na ujumbe wa watu 25 kila safari ya kikazi. Hizo ni faida binafsi.
Faida za kinchi ni pamoja na kupaa kidiplomasia duniani tofauti na sasa ambapo diplomasia yetu inaishia Buguruni. Tanzania ingezidi kusifika kwa kutoa viongozi hodari katika ngazi ya kidunia baada ya kina Dk. Salim Ahmed Salim, Dk. Asha-Rose Migiro, Balozi Mahiga (marehemu) nakadhalika. Unajiuliza ni kwa nini Magufuli alimkatili Bernard Membe?
Namshauri Magufuli, vichwa vya watu kama Membe si wa kuacha kuzurura nje ya utawala. Ni watu wa kuwa nao karibu. Mchukue Membe awe mshauri wako wa masuala ya diplomasia na usalama.
Nawasilisha!
Atasifia atakayesifia, lakini sio mimi. The guy isn’t smart enough to know what works and what doesn’t. His whole approach after the 2015 loss wouldn’t work anywhere (in any political party). He is dumb! Period.
Umetumwa si bureNawasalimu wanabodi.
Mwaka 2015 Mwanadiplomasia mahiri na kachero mbobezi Bernard Membe alijaribu kuusaka Urais kupitia CCM lakini akakatwa jina lake hatua za mwisho.
Macho na masikio ya wengi yalikuwa ni kwa Edward Lowassa na Membe lakini ngekewa ikamdondokea John Magufuli ambaye sasa ni Rais.
Mwaka 2016 mwezi Machi Jumuiya ya Madola (CommonWealth) ilitoa nafasi ya Katibu Mkuu wa Jumuiya hiyo ambapo ilikuwa ni zamu ya Afrika Mashariki kumtoa mtu. Wakuu wa nchi za Afrika Mashariki ilipendekeza mtu huyo atoke Tanzania huku wakipendekeza awe ni Membe. Utarayibu wa Jumuiya hiyo ni kwamba anayependekezwa lazima apate kibali na ruhusa ya mkuu wa nchi yake.
Kinachosikitisha, Rais Magufuli akamwekea "bambi" Membe na nafasi hiyo ikaenda nchi nyingine. Membe akakosa nafasi hiyo.
Kama angefanikiwa kwanza angeenda kuishi jijini London. Angelipwa mshahara wa $50,000 kwa mwezi. Marupurupu $23,000, angesafiri na ujumbe wa watu 25 kila safari ya kikazi. Hizo ni faida binafsi.
Faida za kinchi ni pamoja na kupaa kidiplomasia duniani tofauti na sasa ambapo diplomasia yetu inaishia Buguruni. Tanzania ingezidi kusifika kwa kutoa viongozi hodari katika ngazi ya kidunia baada ya kina Dk. Salim Ahmed Salim, Dk. Asha-Rose Migiro, Balozi Mahiga (marehemu) nakadhalika. Unajiuliza ni kwa nini Magufuli alimkatili Bernard Membe?
Namshauri Magufuli, vichwa vya watu kama Membe si wa kuacha kuzurura nje ya utawala. Ni watu wa kuwa nao karibu. Mchukue Membe awe mshauri wako wa masuala ya diplomasia na usalama.
Nawasilisha!
..kosa lake ni kutokumlamba miguu bwana mkubwa.
..angemuiga Mzee Lukuvi; hajasoma lakini anajua jinsi ya kuishi na Jpm.
Kuchalenji chama ndiyo shidaNawasalimu wanabodi.
Mwaka 2015 Mwanadiplomasia mahiri na kachero mbobezi Bernard Membe alijaribu kuusaka Urais kupitia CCM lakini akakatwa jina lake hatua za mwisho.
Macho na masikio ya wengi yalikuwa ni kwa Edward Lowassa na Membe lakini ngekewa ikamdondokea John Magufuli ambaye sasa ni Rais.
Mwaka 2016 mwezi Machi Jumuiya ya Madola (CommonWealth) ilitoa nafasi ya Katibu Mkuu wa Jumuiya hiyo ambapo ilikuwa ni zamu ya Afrika Mashariki kumtoa mtu. Wakuu wa nchi za Afrika Mashariki ilipendekeza mtu huyo atoke Tanzania huku wakipendekeza awe ni Membe. Utarayibu wa Jumuiya hiyo ni kwamba anayependekezwa lazima apate kibali na ruhusa ya mkuu wa nchi yake.
Kinachosikitisha, Rais Magufuli akamwekea "bambi" Membe na nafasi hiyo ikaenda nchi nyingine. Membe akakosa nafasi hiyo.
Kama angefanikiwa kwanza angeenda kuishi jijini London. Angelipwa mshahara wa $50,000 kwa mwezi. Marupurupu $23,000, angesafiri na ujumbe wa watu 25 kila safari ya kikazi. Hizo ni faida binafsi.
Faida za kinchi ni pamoja na kupaa kidiplomasia duniani tofauti na sasa ambapo diplomasia yetu inaishia Buguruni. Tanzania ingezidi kusifika kwa kutoa viongozi hodari katika ngazi ya kidunia baada ya kina Dk. Salim Ahmed Salim, Dk. Asha-Rose Migiro, Balozi Mahiga (marehemu) nakadhalika. Unajiuliza ni kwa nini Magufuli alimkatili Bernard Membe?
Namshauri Magufuli, vichwa vya watu kama Membe si wa kuacha kuzurura nje ya utawala. Ni watu wa kuwa nao karibu. Mchukue Membe awe mshauri wako wa masuala ya diplomasia na usalama.
Nawasilisha!
2022 tuanze kuangalia nani anapewa VIP security tutajua ndiye ajae.duuuuuuh
Hapa mjinga mimi nimeunganisha dots
Sijawai kumuelewa Mafuguli..faida nyingine ingekuwa ni Watanzania kupata nafasi za kazi ktk sekretariet ya Jumuiya ya Madola.
..kama Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Madola angetoka Tz basi lazima baadhi ya key position ktk Ofisi yake zingejazwa ni Watanzania.
Sijawai kumuelewa Mafuguli
Sitak kuji expose sana japo unanitaja kwa mafumbo..kuna jamaa alikuwa mkurugenzi ktk shirika moja hapa Tz.
..alipoomba kazi ktk shirika la kimataifa akatumbuliwa.
..ni bahati kwamba jamaa alipata kazi ktk shirika hilo.
..nadhani Jiwe hapendi waTz wenye "kolifikeshen" za kupata ajira ktk mashirika au makampuni ya kimataifa.
Sitak kuji expose sana japo unanitaja kwa mafumbo
mkuu habari za hapo IST[emoji38][emoji38].Kazi kweli kweli, Umeandika lugha gani mkuu usiofuata kanuni za uandishi
English ina miundo na mifumo
"Rubbish content ever posted" unaelewa ulichoandika
"Content" means you have understood concept and details of the writer
"Rubbish" means negation of what you have understood
"Rubbish Content" Hakuna kiingereza kama hicho cha kukubali na kuikataa sentensi labda kama unatafsiri kichaga kwenda kiswahili halafu kwenda kiingereza
Haya ndio madhara ya kutafsiri kiswahili na kuandika kwa kiingereza
Hakika wapumbavu hawataisha nchi hii
Madhara ya shule za kata na vyuo vya kata haya ndio mavuno yake
Utaweza wewe kuongea kiingereza kwa dakika tano kwa uandishi wa hovyo namna hiyo
English ni somo pana sana ukitaka ujifunze nenda kwa watu wanaoongea lugha hiyo tu mwezi mzima bila kuchanganya utajifunza kitu
Achana na walimu wako wa kata hao nao ni vilaza kama wewe