hii ndio kanuni ya utumishi wa uma ngazi za juu...kuna jamaa alikuwa mkurugenzi ktk shirika moja hapa Tz.
..alipoomba kazi ktk shirika la kimataifa akatumbuliwa.
..ni bahati kwamba jamaa alipata kazi ktk shirika hilo.
..nadhani Jiwe hapendi waTz wenye "kolifikeshen" za kupata ajira ktk mashirika au makampuni ya kimataifa.
Have you head frog dreaming,when and howRubish content ever posted in the Forum.. you better stop dreaming like a frog..here n there..
Katika hali ya kawaida ni ngumu Sana kuwatengeneza viongozi wapya kuliko kuwatunza waliokwisha Iva.
Rais anakosea sana anapoona viongozi wote waliomtangulia hawakuongoza vizuri nchi hii.
Kibaya zaidi anazalisha viongozi wasiokuwa na vipaji vya uongozi Kama yeye alivyo.
Kimbunga kipi,nani anashindana naye au anapiga kasi mwenyeweTeam Membe hongera Sana ila JPM anasonga mbele kwa kasi ya kimbunga
Maria Sarungi kapost kuwa Serikali hii imewawekea ngumu Dr. Likwilile na Madam Mulamula kupata post huko AU!!
Kama ni kweli basi "Malaika Mkuu" sio kabisa
hii ndio kanuni ya utumishi wa uma ngazi za juu.
hukurupuki tu kunyanyua kalio lako kisa umeona maslahi,lazima uombe ruhusa na uruhusiwe,ama utumwe kama kutumwa.
vinginevyo unakula red.
Home-country backing of a candidate is not automatic! Kama kila candidate wa hizo positions angekuwa automatically anapewa support na nchi yake, basi AU isingekuwa hata na hiyo requirement.
Hata vyama vya siasa vinakata political candidates, kwa vigezo vyao!
..CJ Mohamed Chande Othman aliomba nafasi kuwa muendesha mashtaka mkuu wa ICC.
..JK hakumfanyia hiyana yoyote na alikuwa radhi Chande aachie u-CJ wa Tz akachukue kazi ICC.
Sijui ukweli wa habari yako, wala sitetei kuzibiana.Nawasalimu wanabodi.
Mwaka 2015 Mwanadiplomasia mahiri na kachero mbobezi Bernard Membe alijaribu kuusaka Urais kupitia CCM lakini akakatwa jina lake hatua za mwisho.
Macho na masikio ya wengi yalikuwa ni kwa Edward Lowassa na Membe lakini ngekewa ikamdondokea John Magufuli ambaye sasa ni Rais.
Mwaka 2016 mwezi Machi Jumuiya ya Madola (CommonWealth) ilitoa nafasi ya Katibu Mkuu wa Jumuiya hiyo ambapo ilikuwa ni zamu ya Afrika Mashariki kumtoa mtu. Wakuu wa nchi za Afrika Mashariki ilipendekeza mtu huyo atoke Tanzania huku wakipendekeza awe ni Membe. Utarayibu wa Jumuiya hiyo ni kwamba anayependekezwa lazima apate kibali na ruhusa ya mkuu wa nchi yake.
Kinachosikitisha, Rais Magufuli akamwekea "bambi" Membe na nafasi hiyo ikaenda nchi nyingine. Membe akakosa nafasi hiyo.
Kama angefanikiwa kwanza angeenda kuishi jijini London. Angelipwa mshahara wa $50,000 kwa mwezi. Marupurupu $23,000, angesafiri na ujumbe wa watu 25 kila safari ya kikazi. Hizo ni faida binafsi.
Faida za kinchi ni pamoja na kupaa kidiplomasia duniani tofauti na sasa ambapo diplomasia yetu inaishia Buguruni. Tanzania ingezidi kusifika kwa kutoa viongozi hodari katika ngazi ya kidunia baada ya kina Dk. Salim Ahmed Salim, Dk. Asha-Rose Migiro, Balozi Mahiga (marehemu) nakadhalika. Unajiuliza ni kwa nini Magufuli alimkatili Bernard Membe?
Namshauri Magufuli, vichwa vya watu kama Membe si wa kuacha kuzurura nje ya utawala. Ni watu wa kuwa nao karibu. Mchukue Membe awe mshauri wako wa masuala ya diplomasia na usalama.
Nawasilisha!
Kama nilivyokwishasema, home-country backing of a candidate isn’t automatic. Anayepata backing anakidhi vigezo vya nchi. Chande, kama alipata backing, alikidhi vigezo!
Msiwe na focus ya waliokosa backing tu; wapo pia waliopata backing ya Tanzania!
Kiingilish kama cha konki masterLol! This is totally an embecile comment..you know nothing when it comes to english words and their uses bro..you better stop comment if you are politically motivated..we should be pro-Tanzania and not Pro-maembe.
Wewe ndiye Membe mwenyewe au shemeji yake.Nawasalimu wanabodi.
Mwaka 2015 Mwanadiplomasia mahiri na kachero mbobezi Bernard Membe alijaribu kuusaka Urais kupitia CCM lakini akakatwa jina lake hatua za mwisho.
Macho na masikio ya wengi yalikuwa ni kwa Edward Lowassa na Membe lakini ngekewa ikamdondokea John Magufuli ambaye sasa ni Rais.
Mwaka 2016 mwezi Machi Jumuiya ya Madola (CommonWealth) ilitoa nafasi ya Katibu Mkuu wa Jumuiya hiyo ambapo ilikuwa ni zamu ya Afrika Mashariki kumtoa mtu. Wakuu wa nchi za Afrika Mashariki ilipendekeza mtu huyo atoke Tanzania huku wakipendekeza awe ni Membe. Utarayibu wa Jumuiya hiyo ni kwamba anayependekezwa lazima apate kibali na ruhusa ya mkuu wa nchi yake.
Kinachosikitisha, Rais Magufuli akamwekea "bambi" Membe na nafasi hiyo ikaenda nchi nyingine. Membe akakosa nafasi hiyo.
Kama angefanikiwa kwanza angeenda kuishi jijini London. Angelipwa mshahara wa $50,000 kwa mwezi. Marupurupu $23,000, angesafiri na ujumbe wa watu 25 kila safari ya kikazi. Hizo ni faida binafsi.
Faida za kinchi ni pamoja na kupaa kidiplomasia duniani tofauti na sasa ambapo diplomasia yetu inaishia Buguruni. Tanzania ingezidi kusifika kwa kutoa viongozi hodari katika ngazi ya kidunia baada ya kina Dk. Salim Ahmed Salim, Dk. Asha-Rose Migiro, Balozi Mahiga (marehemu) nakadhalika. Unajiuliza ni kwa nini Magufuli alimkatili Bernard Membe?
Namshauri Magufuli, vichwa vya watu kama Membe si wa kuacha kuzurura nje ya utawala. Ni watu wa kuwa nao karibu. Mchukue Membe awe mshauri wako wa masuala ya diplomasia na usalama.
Nawasilisha!
..awamu hii hakuna vigezo vya nchi, kuna vigezo vya Jiwe.
..nakwambia kuna jamaa aliomba kazi ktk shirika moja la kimataifa akaishia kutumbuliwa.
..bahati nzuri alifanikiwa kupata kazi hiyo, na inalipa kuliko kazi aliyokuwa akiifanya awali.
Na aliyemkata ni UMBWA KAMA UMBWA ZINGINEMembe ni muhuni kama wahuni wengine.
Akuanzae mmalize,nafikiri umenielewaNawasalimu wanabodi.
Mwaka 2015 Mwanadiplomasia mahiri na kachero mbobezi Bernard Membe alijaribu kuusaka Urais kupitia CCM lakini akakatwa jina lake hatua za mwisho.
Macho na masikio ya wengi yalikuwa ni kwa Edward Lowassa na Membe lakini ngekewa ikamdondokea John Magufuli ambaye sasa ni Rais.
Mwaka 2016 mwezi Machi Jumuiya ya Madola (CommonWealth) ilitoa nafasi ya Katibu Mkuu wa Jumuiya hiyo ambapo ilikuwa ni zamu ya Afrika Mashariki kumtoa mtu. Wakuu wa nchi za Afrika Mashariki ilipendekeza mtu huyo atoke Tanzania huku wakipendekeza awe ni Membe. Utarayibu wa Jumuiya hiyo ni kwamba anayependekezwa lazima apate kibali na ruhusa ya mkuu wa nchi yake.
Kinachosikitisha, Rais Magufuli akamwekea "bambi" Membe na nafasi hiyo ikaenda nchi nyingine. Membe akakosa nafasi hiyo.
Kama angefanikiwa kwanza angeenda kuishi jijini London. Angelipwa mshahara wa $50,000 kwa mwezi. Marupurupu $23,000, angesafiri na ujumbe wa watu 25 kila safari ya kikazi. Hizo ni faida binafsi.
Faida za kinchi ni pamoja na kupaa kidiplomasia duniani tofauti na sasa ambapo diplomasia yetu inaishia Buguruni. Tanzania ingezidi kusifika kwa kutoa viongozi hodari katika ngazi ya kidunia baada ya kina Dk. Salim Ahmed Salim, Dk. Asha-Rose Migiro, Balozi Mahiga (marehemu) nakadhalika. Unajiuliza ni kwa nini Magufuli alimkatili Bernard Membe?
Namshauri Magufuli, vichwa vya watu kama Membe si wa kuacha kuzurura nje ya utawala. Ni watu wa kuwa nao karibu. Mchukue Membe awe mshauri wako wa masuala ya diplomasia na usalama.
Nawasilisha!
Dr. Mwele Malechela na Dr. Likwalile nao wamewekewa kauzibe kule African Union Commisions(AUC).
So itabidi AUC itafute watu wengine kwenye nafasi na bila shaka watatoka kwenye nchi nyingine.
Mitano tena,atake asitake.