Kitu gani ambacho ukikaa kukumbuka kina kusisimua?

Yani umenichekesha kuliko kawaida
 
Nikikumbuka Juzi tarehe 5 June nasisimka na kulia kabisa..
Maana nimetoka kazini naingia getoni nakuta wamenikomba Laptop mpya na simu ya Samsung S4.. aisee Mungu anawaona walio iba maana wamenirudisha kutoka Dar hadi kolomije kwa miguu
Mama weeeee pole baba
 
hahahah kweli kabsaa MUNGU wako yupo duniani mkuu hata siyo mbinguni


Inawezekana, maana siku zingine huwa najiuliza....je, kama yule nyoka angenigonga makalioni ama mgongoni? Kibaya Zaidi, je kama angelikamata dushe kuzania kuwa ni panya au mjusi, ingekuwaje? Nyoka si chatu ila alikuwa mkubwa balaa, na nafikiri alikimbia baada ya kusikia lile bomu la ushuzi alifikiri anataka kukamatwa kumbe kijana nilikuwa najisaidia tu kuondoa gesi.
 
πŸ˜€πŸ˜€
 
hhahahahahahaha, haki hakuna alielewa maana ya huu uzi kama wewe
 
Napata wakat mgumu sana pale nnapokuwaga na shida ya ela halfu nikukumbuka simjui hata wa kumkopa nakuwa confusion hadi nackia kuuguaπŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…