Golden Age
JF-Expert Member
- Mar 9, 2017
- 203
- 45
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mwaka 1994, wakati tunaenda Tanga na bus, tulifika sehemu moja hivi mbele kidogo baada ya kuvuka Chalinze dereva akasimamisha bus na kutaka tuchimbe dawa. Mimi nikaenda mbali kidogo na wenzangu kwani nilikuwa nina haja kubwa. Nikazama kwenye kichaka, ile kuinama tu na kutoa bonge la ushuzi.....alitoka bonge la nyoka sijuwi tokea wapi akapita katikati ya makalio yangu na dushe huku akikimbia. Kwa kweli Mungu yupo duniani, yaani nikikumbuka lile tukio na ukubwa wa yule nyoka huwa nasisimka wakati mwingine.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Nilijamba mbele ya mamakwe mtarajiwa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Inawezekana, maana siku zingine huwa najiuliza....je, kama yule nyoka angenigonga makalioni ama mgongoni? Kibaya Zaidi, je kama angelikamata dushe kuzania kuwa ni panya au mjusi, ingekuwaje? Nyoka si chatu ila alikuwa mkubwa balaa, na nafikiri alikimbia baada ya kusikia lile bomu la ushuzi alifikiri anataka kukamatwa kumbe kijana nilikuwa najisaidia tu kuondoa gesi.
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Mwaka 1994, wakati tunaenda Tanga na bus, tulifika sehemu moja hivi mbele kidogo baada ya kuvuka Chalinze dereva akasimamisha bus na kutaka tuchimbe dawa. Mimi nikaenda mbali kidogo na wenzangu kwani nilikuwa nina haja kubwa. Nikazama kwenye kichaka, ile kuinama tu na kutoa bonge la ushuzi.....alitoka bonge la nyoka sijuwi tokea wapi akapita katikati ya makalio yangu na dushe huku akikimbia. Kwa kweli Mungu yupo duniani, yaani nikikumbuka lile tukio na ukubwa wa yule nyoka huwa nasisimka wakati mwingine.
Usisahau chin ya uvunguKila nikikumbuka ule uzi wa nyoka hususani black mamba (koboko),huwa nasisimka sana,nawasha taa kuhakikisha hajajipenyeza chini ya mlango!
Dhuuuu!! Pole mkuu hao. WalivunjaNikikumbuka Juzi tarehe 5 June nasisimka na kulia kabisa..
Maana nimetoka kazini naingia getoni nakuta wamenikomba Laptop mpya na simu ya Samsung S4.. aisee Mungu anawaona walio iba maana wamenirudisha kutoka Dar hadi kolomije kwa miguu
polee sanaNkikumbuka nlivoponea chupucupu kugongwa na gar
Aiseee stak kukumbuka
Af hyo sehem hua naipita
Daily
Mungu mkubwa kwa kweli
Hii ingine n ya 2
Nlivodisko standard 7
Dhaaa!! Roho inaniumaga
Kinyama ila namshukuru
Mungu mambo n mazur
maisha mazur c mpaka kusoma n
Juhud zako tu
Ulikuwepo?Kufa kwa Yesu kristo msalabani n kitafakari hua nasisimka sana .
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Aiseee kweli mungu mkubwa
Mkuu
Aah Mbona Kama Tumeshare Same Story Mimi Niliumia Mgongoni kakiniNikikumbuka nilivyoangukaga juu ya mperaaa nikaumia kwenye paja alafu mama badala ya kuja kuniangalia km nimeumia ana nichapaa asee nikikumbuka daaaa
Hahaaa mm kweny paja karibia na naniliuuAah Mbona Kama Tumeshare Same Story Mimi Niliumia Mgongoni kakini