Kitu gani ambacho ukikaa kukumbuka kina kusisimua?

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Siku tunamuaga baba angu(r.i.p dadii i mic yew so much momy mic yew too) nilikua mdogo sana nilimulza mama kuwa tutapata baba mwingine alilia sanaa nikikumbua mwili unaccmkuka full majonzi
 
Nkikumbuka nlivoponea chupucupu kugongwa na gar

Aiseee stak kukumbuka
Af hyo sehem hua naipita
Daily
Mungu mkubwa kwa kweli

Hii ingine n ya 2
Nlivodisko standard 7
Dhaaa!! Roho inaniumaga

Kinyama ila namshukuru
Mungu mambo n mazur
maisha mazur c mpaka kusoma n
Juhud zako tu
 
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Aiseee kweli mungu mkubwa
Mkuu
 
Nikikumbuka Juzi tarehe 5 June nasisimka na kulia kabisa..
Maana nimetoka kazini naingia getoni nakuta wamenikomba Laptop mpya na simu ya Samsung S4.. aisee Mungu anawaona walio iba maana wamenirudisha kutoka Dar hadi kolomije kwa miguu
Dhuuuu!! Pole mkuu hao. Walivunja
Mlango aiseee
 
Siku tunamuaga baba angu(r.i.p dadii i mic yew so much momy mic yew too) nilikua mdogo sana nilimulza mama kuwa tutapata baba mwingine alilia sanaa nikikumbua mwili unaccmkuka full majonzi
pole sana Mkuu
 
polee sana
 
kukumbuka huko sio kuzur kabisa unaweza kucheka au kutoa chozi mbele ya kadamnasi badae utaonekana kama chiz..
 
Nikikumbuka nilivyoangukaga juu ya mperaaa nikaumia kwenye paja alafu mama badala ya kuja kuniangalia km nimeumia ana nichapaa asee nikikumbuka daaaa
Aah Mbona Kama Tumeshare Same Story Mimi Niliumia Mgongoni kakini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…