Kitu gani cha kawaida hujawahi kufanya?

Sijawahi kupigana.. Ule ugomvi wa kurushiana ngumi..
Nami pia sijawai kupigana na wala sipendi kupigana ila napenda kuangalia ngumi live, watu wanavyorushiana makonde kavu kavu hadi wapasuane, watoke damu.
 
1. Sijawahi kutoka nje ya nyumba nikiwa nimejifunga taulo aissee!
2. Sijawahi kupiga mswaki huku nakwenda dukani.
3. Sijawahi kupigwa kwenye ngumi.
Kipindi nipo shule ilikuwa kila mwaka lazima nipigane kuweka rekodi zangu sawa tena hata pale pasipo na sababu lazima tu sababu ipatikane... [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…