Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,415
- 119,473
[emoji16][emoji16][emoji16] mwaka huu tufanye sherehe niondoe ushamba YegoUshamba tu, muone! [emoji16][emoji2089][emoji2089]
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji16][emoji16][emoji16] mwaka huu tufanye sherehe niondoe ushamba YegoUshamba tu, muone! [emoji16][emoji2089][emoji2089]
Sijawahi kutamani kwa kweli, na ile hali sehemu moja wanaogelea watu kama wote maji yanaingia mdomoni wanatema humohumo inanichefuaga kwelikweliVp hujatamani siku moja uogelee?
Unaniamkia shikamoo unataka kuninyima nini? Natania, marhaba hujambo mdogo wangu?Shikamoo dada.
Nami pia sijawai kupigana na wala sipendi kupigana ila napenda kuangalia ngumi live, watu wanavyorushiana makonde kavu kavu hadi wapasuane, watoke damu.Sijawahi kupigana.. Ule ugomvi wa kurushiana ngumi..
Hana 🐸.
Umenielewa vyemaMwanamke anatoka na kanga mbili kwenda bombani, mwanaume na kibukta/kaptula kifua wazi anasalimianana na wapita njia
Mnasemeshana mswaki upo mdomoni huku mdomo umetapakaa dawa ya meno..ptuuu!
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijambo kabisa...Unaniamkia shikamoo unataka kuninyima nini? Natania, marhaba hujambo mdogo wangu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mie navaa tu kwasababu jamii niliyopo ndo inakushinikiza ila mhhSijawahi kuvaa[emoji116]View attachment 1466870
Sipendi mtu aniandikie sms ya mambo/hello mySijawahi kuitwa "MY WANGU", maisha sio
Sisi wamama wa mjini hatutaki kabisa shikamooSijambo kabisa...
Hizo za kusema unataka kuninyima nini nilikutana nazo mbagala...[emoji3][emoji3][emoji3] kuna wamama wamepinda sana.
Mambo vipi mama wa mjini[emoji137]
Poa anko [emoji16][emoji16] mzima??Mambo vipi mama wa mjini[emoji137]
Hello my,Sipendi mtu aniandikie sms ya mambo/hello my
Aah tubaki na ushamba wetu tu 😂Wigi/ weaving/kubandika kucha/kope.....
In general "fake zones" sio muumini kabisa, sijui ushamba[emoji849]
Sent using Jamii Forums mobile app