Nipo imara zaidi ya jana.
Ahsante Ankoo mzuri, msalimie sana anko Culture Me
Teh utakuwa muoga sana wewe [emoji38][emoji38][emoji38]Sijawahi kupigana.. Ule ugomvi wa kurushiana ngumi..
[emoji16][emoji16] zimefika anko, lakini umeshindwa kumsalimia mwenyewe kweli?Ahsante Ankoo mzuri, msalimie sana anko Culture Me
Utakuwa Arsenale wewe wazee wa stressSijawahi kuishangilia Man U...[emoji38][emoji38]
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji16][emoji16] zimefika anko, lakini umeshindwa kumsalimia mwenyewe kweli?
Sent using Jamii Forums mobile app
π€£π€£π€£ Acha basiHello my,
Jomonii mambo my wangu,
[emoji2960]
Nimeongelea kupenda mwanamke, sorry nilijichanganyaHata wazazi hujawahi kuwapenda mkuu?
Muoga kupigana.. hata kurushiana maneno.. sipendi ugomvi..Teh utakuwa muoga sana wewe [emoji38][emoji38][emoji38]
Ni vizuri ugomvi huwa hauna maana zaidi ya kuwa branded ukorofi tuMuoga kupigana.. hata kurushiana maneno.. sipendi ugomvi..
Kabisa.. Na kuleta majuto baadaye..Ni vizuri ugomvi huwa hauna maana zaidi ya kuwa branded ukorofi tu
Nawachukia watu wenye tabia number 1&2[emoji3525]1. Sijawahi kutoka nje ya nyumba nikiwa nimejifunga taulo aissee!
2. Sijawahi kupiga mswaki huku nakwenda dukani.
3. Sijawahi kupigwa kwenye ngumi.
Kipindi nipo shule ilikuwa kila mwaka lazima nipigane kuweka rekodi zangu sawa tena hata pale pasipo na sababu lazima tu sababu ipatikane... [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]
Sure, unaweza kupigwa ukapata permanent disfigurement piaKabisa.. Na kuleta majuto baadaye..
Aisee Mimi ni mshamba mwenzakoWigi/ weaving/kubandika kucha/kope.....
In general "fake zones" sio muumini kabisa, sijui ushamba[emoji849]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona umenisindikiza na kicheko Kasie.
Kwani amemaanisha nini?
Wanadai bila chura hii inakuwa ni sawa na umejifunika shuka
Hana πΈ.
Sema hakunielewa.
πππAaahahahahahhaaaaa jamaniiii, kwahiyo mie natembeaga huku nimejifunika shuka loooh...
Sambi senu wenyeweee aahahahaaaa.