aisee[emoji848][emoji848][emoji848] mi labda kunywa pombe na kwenda club ndo sijawahi
Mkuu naomba nikutoe Out hata club tu
Sijawahi kufanya birthday party
Pole jamani My Dada..
Kuogelea raha mno.. halafu mimi nimejua kuogelea pasipo hata kufundishwa..
Itabidi nikufundishe..
Ni kitu cha kawaida mbona, tatizo mmeitia ubaya lakini mmea hauna tabu na mtu,
Kikubwa usiwe mgomvi sababu ukiuvuta unakupa maconfidence yote sasa ukiwa ka chokozi utajikuta aidha huna meno au umemtoa mtu meno.
Mungu akusaidie
Ndio maana nasema sometimes i see you in me sister
Mie pia sijawahi kukaa uchi mbele ya mtu ukiachana na utotoni
Kuna jamaa yangu nafanya nae biashara alinishangaza sana, yaani yeye tangu utoto wake mpaka sasa mtu mzima hajawahi Panda daladala wala bodaboda.
Nilishangaa kuna wa Tanzania wamekulia maisha ya Privet sana.
Hutiwi au
jamani G [emoji23][emoji23][emoji23]nipeleke kwenye kitimoto tu panatosha
Sijawahi wala sina mpango wa kula kitimoto. Sijawahi kumuelewa huyu kiumbe
[emoji23][emoji23][emoji23]akhuuuTufanye mpango huo pia sio mbaya, halafu twende na club tu Cute [emoji28]
Aiseee, usinitamanishe. Haya majaribuni tamu balaa
Aiseee, usinitamanishe. Haya majaribu
Aah wapi ina utamu gani kuzidi nyama zingine?siku ukionja utajiuliza ulikua unachelewa wapi
Utamu wake hauelezeki ila Yes ni tamu kuzid nyama zingine
Kila mtu na taste yake kwa kweliUtamu wake hauelezeki ila Yes ni tamu kuzid nyama zingine