Kitu gani cha kawaida hujawahi kufanya?

Kitu gani cha kawaida hujawahi kufanya?

Me huwa nawaambia watu, ukikutana na wavuta bangi wale ambao wapo calm na wanavuta kwa starehe zao hawana kelele wala shida na mtu, ni moja kati ya watu poa poa sana.. na Hua washkaji sana
Ni kitu cha kawaida mbona, tatizo mmeitia ubaya lakini mmea hauna tabu na mtu,
Kikubwa usiwe mgomvi sababu ukiuvuta unakupa maconfidence yote sasa ukiwa ka chokozi utajikuta aidha huna meno au umemtoa mtu meno.
 
Sijawahi wala sina mpango wa kula kitimoto. Sijawahi kumuelewa huyu kiumbe
 
Back
Top Bottom