Kitu gani cha kawaida hujawahi kufanya?

Wanavaa wenye chura kama mimi,wacheza vigodoro na singeli. Halina heshima yoyote.
Ndo maana sehemu zenye hadhi hauwezi ingia umevaa hizo.
Rakini si unavaaga pia mwarimu wangu?
 
Sasa naona umeshajua kuandika vizuriπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚.
Mimi kama mwalimu nina mbinu nyingi za ufundishaji.

Daaah, nilijisahau etiπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Hahaha umenichekesha sana ww dada
 
sijawahi kabisa kudet na demu mkali japo kwa wengine ni jambo la kawaida.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…