SamsungUnapenda brand gani?
dada yangu njoo inbox tuongee hatuwezi kushindwana,nataka tuunganishe ukoo.Ndio wewe ulinipiga? Teh
Duh!!Sijawahi kusex na mwanaume na haitakuja kutokea,[emoji777]
Sijawahi kwenda kiwanja chochote cha mpira kushangilia japo rafiki zangu wengi ni wana michezo, [emoji2359]
Sijawahi kuomba mtu nisiyemjua pesa,[emoji724]
Sijawahi kukataliwa nikitongoza, [emoji23]
[emoji8]Duh!!
Asante ma dear!😘[emoji8]
Mitaa niliyokaa halafu sijawai tukana tusi la K aisee natembea kifua mbeleWakuu,
Kuna vitu katika maisha ambavyo ni kawaida kufanywa na watu kila Siku,lakini inawezekana kwa wengine wakawa hawajawahi kufanya kabisa.
Sababu inaweza kuwa kutopenda,kukosa muda,sababu za kiimani nk.
Nikianza na mimi:
1. Sijawahi kabisa kutengeneza juisi ya matunda (Shalubati) katika maisha yangu, pamoja na kwamba huwa natumia ila ni ile iliyotengenezwa na wengine.
2. Sina kabisa akaunti kwenye mitandao maarufu hii mitatu ya Facebook, Instagram na Twitter, habari nyingi napata JF na vyanzo vingine.
Je, wewe ni kitu gani ambacho wengine huona ni cha kawaida kufanya ila kwa upande wako hujawai kufanya?
Yaani nimeishi pwani lakini sijawajua kuogelea shame on me. Mara ya mwisho 2012 nimenuia kabisa nikasema naenda coco beach saa 6 mchana nikajifunze mpka nijue....waaapi bado kidogo nizame nikarudi nyumbani nimepauka hasira kama zoteSijawahi kuogelea. Lol
Cha kufia nini eti 😅 ukajirudia zako. Hahahaaaa. Pole Bro.Yaani nimeishi pwani lakini sijawajua kuogelea shame on me. Mara ya mwisho 2012 nimenuia kabisa nikasema naenda coco beach saa 6 mchana nikajifunze mpka nijue....waaapi bado kidogo nizame nikarudi nyumbani nimepauka hasira kama zote
kuku hafui dafu kwenye Nyama ya chura.Nyama ya kuku ndio unbeaten kwangu mpaka sasa
Sijawahi kuionja, btw unazungumzia chura chura au chura anaruka ruka chura?kuku hafui dafu kwenye Nyama ya chura.
chura OG, chura rukarukaSijawahi kuionja, btw unazungumzia chura chura au chura anaruka ruka chura?
Sijawahi aseee, apo sikubishiichura OG, chura rukaruka
Papa John Paul 2 au Papa wa feri sokoni?Hivi kununua Papa nayo ni kawaida?