Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,682
- 98,253
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hivi dada bila kuhusisha haya mambo na makabila huwa haujisikii vizuri eh
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nyooo siyo wewe uliyekuwa unaropoka hadi ukakimbia mwenyeweUliona wapi kabila langu tunapiga soga kule Kwenye Uzi?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wanyakyusa mmezidi
Ninyi wa makabila mengine si mnatuonea wivu ndiyo maana [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787] huwa nahusha makabila mawili tu usinisingizie, unatakiwa ujiulize Tanzania tuna makabila zaidi ya 120 kwa nini kila siku mtajwe ninyi tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli enh? Sasa ule mpango wa picha vipi ujue umenichomesha mahindi tangu mwaka jana hadi leo niko nasubiri tu roho mtakatifu akushukie unitumie kapicha japo ka mkono tu jamani!Missing you too swts. Afu me nipo humu daily ujue; though kuna muda napita kimya kimya
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kwa kweli, halafu wanatuonea wivu.Huyo mbena anatupenda hadi anatuota
Kweli enh? Sasa ule mpango wa picha vipi ujue umenichomesha mahindi tangu mwaka jana hadi leo niko nasubiri tu roho mtakatifu akushukie unitumie kapicha japo ka mkono tu jamani!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kwa kweli, halafu wanatuonea wivu.
Yaani unanisingizia naona kabisa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nyooo siyo wewe uliyekuwa unaropoka hadi ukakimbia mwenyewe
We jichetue tu, hebu tuma huko!!
Aiseee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]Hahaha Jael alisema nikituma tu picha eti atajitoa JF; ndiyo namuwazaga kila nikitaka kupost
Aiseee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]
Oneni huu utetezi[emoji119]
Apotee wapi weka pichaHahaha wewe upo tayari Jael apotee humu?
Weka picha.Ili upate excuse ya kujitoa eeh
Apotee wapi weka picha
Hahaha sio kwa kunikomalia hukuWeka picha.
Hata pm tu jamani. Sitamuambia eti.