geraldincredible
JF-Expert Member
- Mar 26, 2017
- 2,035
- 7,223
nikiwa na hela namuuuliza shida nini...kibossVipi umemtext mambo akajibu sipo poa... Hua unaendelea au unazima simu ghafla[emoji2]
Hapo freshiiii.... I miss you too dear😂mambo
nimekumiss.....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hapa vipi
Hahahaaaaa et tumwachie Mungu hahaa, hatakujibu tenanikiwa na hela namuuuliza shida nini...kiboss
sina kitu akisema siko poa...nasema tumwachie Mungu tuu muweza wa yote
Aisee, wallet ninayo ila natumia mara chache na ninnaweka mfuko wa mbele,sizipendiSijawahi kusafiri kwa Regional Buses hata kama naenda mkoa wa mbali kiasi gan.
Sijawah kupanda lift za ghorofa.
Sijawah kufanya mapenzi bila kumpima mwanamke damu.
Sijawahi kuvaa chain shingoni
Sijawah kutapeliwa
Sijawahi kununua dada poa.
Sijawahi kumiliki wallet
Sijawah kwenda gym.
Sijawahi kabisa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahahaaaaa et tumwachie Mungu hahaa, hatakujibu tena
nawasalimia...siwez mpgia simu mtu leNGO ni kumwambia NILIKUA NAKUSALIMIAHuwa huwasalimii?
ilo sijajua kama ni tatzo la kiafya au vip maana ata dawa za usingizi hazinilazi ata ganzi mwili wang haushiki nawaza ikija siku nifanyiwe opareshen sijui itakuajeMkuu hili ni tatizo la kiafya au vipi?
Pole,hilo ni tatizo japo hatujui sababu yake ni nini,ina maana usiku huwa hulali kabisa?na unakuwa unafanya nini sasa?ilo sijajua kama ni tatzo la kiafya au vip maana ata dawa za usingizi hazinilazi ata ganzi mwili wang haushiki nawaza ikija siku nifanyiwe opareshen sijui itakuaje
Ni mwendo wa kutulia tu mbak ninywe kitu kikali kidog apo naweza lala kwa kuzima apo nd nimelala mjubaPole,hilo ni tatizo japo hatujui sababu yake ni nini,ina maana usiku huwa hulali kabisa?na unakuwa unafanya nini sasa?
mimi nilikuelewa kule juu...ambao wengi walikua hawakuelewi
ww na kacha me mna associate....
Icho ni cha kawaida??Sijawah kufanya groupsex
[emoji15][emoji15][emoji15]icho ni cha kawaida?Kwenda kwa mpalange A. K. A njia ya tope hapana aisee..
Mimi pia sijawahi watamani wazungu[emoji3] Hio ni historia tu mkuu,waliofanya ni mababu zao,mbona wazungu hujawasema?