Ngoja niotee, ugomvi wako mkubwa ni wa kurushiana maneno, "vita baridi"Sijawahi kupigana.. Ule ugomvi wa kurushiana ngumi..
PoleeUwiii!! Hadi dada yako nimekushinda mana kimtaani mtaani nliwahi kupigana na mvulana kipindi hicho niko mdogo wee alinidunda nakumbuka kulikuwa na mtaro mdogo tu pembeni akanidumbukiza humo nikaanza kulia hadi dada zangu wakaja kunitowa mana sikupigana tena ikabakia nalia tu huku huyo mvulana ananisubiria kwa juu nitoke aniongeze.
Ila toka hapo sijawahi kupigana mana nikawa mwoga hadi kwa wanawake wenzangu kwa hofu nikipigana nao watanipiga. [emoji28][emoji28]
Mkuu!!! Hiyo huo ugomvi wa namna hiyo huwa najaribu kuukwepa namna ninavyoweza.. Nikiona tu amani imetoweka.. nitakaa kimya kuinusuru nafsi yangu.Ngoja niotee, ugomvi wako mkubwa ni wa kurushiana maneno, "vita baridi"
Nikiona tu amani imetoweka.. nitakaa kimya kuinusuru nafsi yangu.
😀😆😀Uwiii!! Hadi dada yako nimekushinda mana kimtaani mtaani nliwahi kupigana na mvulana kipindi hicho niko mdogo wee alinidunda nakumbuka kulikuwa na mtaro mdogo tu pembeni akanidumbukiza humo nikaanza kulia hadi dada zangu wakaja kunitowa mana sikupigana tena ikabakia nalia tu huku huyo mvulana ananisubiria kwa juu nitoke aniongeze.
Ila toka hapo sijawahi kupigana mana nikawa mwoga hadi kwa wanawake wenzangu kwa hofu nikipigana nao watanipiga. 😅😅
nimeacha kitambo sana since 2013
dahh avatar yako 😘😘😘hongera mkuu
NdioNdio utaratibu uliojiwekea?
Huo ndio ukweli wangu nyumba nimejenga nzuri tu ila GARI inanitesa sana[emoji3][emoji3][emoji3]
Sijawahi kuvaa[emoji116]View attachment 1466870
Sijawahi kuvaa[emoji116]View attachment 1466870
dahh avatar yako [emoji8][emoji8][emoji8]
Yoga Pants, sweetpants and Pajamasunavaa nini ukiwa home?
Avatar though..[emoji39][emoji39]hahaha [emoji4]