Eyce
JF-Expert Member
- Mar 16, 2016
- 7,185
- 24,330
Huyo jamaa yangu mmoja ndo huwa ananiambia nikivuta ndio nitafikiria zaidi lakini hapana kiukweli. Nivute halafu iwe bahati yangu kuwehuka siwezi 😂Kweli wanainasibisha na uhuni, ila ukijiwekea kwa wiki unapiga hata stick moja tu, hakika utakua mwenye akili kubwa, nguvu nyingi na afya tele.
[emoji1][emoji1]