Eyce
JF-Expert Member
- Mar 16, 2016
- 7,185
- 24,330
Hivi bhangi ni kitu cha kawaida. Mimi sijaitaja maana sijawahi kutumia na sijawahi kuona ni kitu cha kawaidaKwenda club ilikuwaga ndio Hobie yangu kubwa when i was under 22.ila pombe sigara bangi hivi vitu sijawahi vitumia