Kitu gani cha kawaida hujawahi kufanya?

Kitu gani cha kawaida hujawahi kufanya?

Uwiii!! Hadi dada yako nimekushinda mana kimtaani mtaani nliwahi kupigana na mvulana kipindi hicho niko mdogo wee alinidunda nakumbuka kulikuwa na mtaro mdogo tu pembeni akanidumbukiza humo nikaanza kulia hadi dada zangu wakaja kunitowa mana sikupigana tena ikabakia nalia tu huku huyo mvulana ananisubiria kwa juu nitoke aniongeze.

Ila toka hapo sijawahi kupigana mana nikawa mwoga hadi kwa wanawake wenzangu kwa hofu nikipigana nao watanipiga. [emoji28][emoji28]

Nimemaliza kusoma huku nacheka..
Nikupe pole Dada.. Mimi kupigana Ki ukweli labda nyakati za utoto ambazo sina kumbukumbu.. Ila nilipoanza kupata akili na kujitambua naweza kusema kupigana ni kitu ambacho sijawahi kwanza mimi ni muoga mno...
 
Nimemaliza kusoma huku nacheka..
Nikupe pole Dada.. Mimi kupigana Ki ukweli labda nyakati za utoto ambazo sina kumbukumbu.. Ila nilipoanza kupata akili na kujitambua naweza kusema kupigana ni kitu ambacho sijawahi kwanza mimi ni muoga mno...
Ahsante mdogo wangu nilikomeshwa mana nilikuwa na mwili hivi basi ukawa unanidanganya. 😅😅

Ila hiyo ndio nzuri sababu kikawaida ugomvi wa kupigana hauna maana kabisa..
 
Back
Top Bottom