Kitu gani cha kawaida hujawahi kufanya?

Kitu gani cha kawaida hujawahi kufanya?

Mm sijawahi kumnyonya mtu mate
images.jpg
 
Uwiii!! Hadi dada yako nimekushinda mana kimtaani mtaani nliwahi kupigana na mvulana kipindi hicho niko mdogo wee alinidunda nakumbuka kulikuwa na mtaro mdogo tu pembeni akanidumbukiza humo nikaanza kulia hadi dada zangu wakaja kunitowa mana sikupigana tena ikabakia nalia tu huku huyo mvulana ananisubiria kwa juu nitoke aniongeze.

Ila toka hapo sijawahi kupigana mana nikawa mwoga hadi kwa wanawake wenzangu kwa hofu nikipigana nao watanipiga. [emoji28][emoji28]
Unahisi Kila mtu atakundunda [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hahahaaa. Na kweli mdogo wangu imekuwa kinyume kabisa mana mi huwa naangalia tu watu wakicheza na maji lakini sijawahi kushawishika nipo radhi niwe mtazamaji tu lakini si kuyaingia.
Pole jamani My Dada..
Kuogelea raha mno.. halafu mimi nimejua kuogelea pasipo hata kufundishwa..
Itabidi nikufundishe..
 
Hapa nilikuwa najiuliza ni nini at least umenionesha. Sijawahi fanya birthday party wala hata kukata keki yenye jina langu. Poor me 😁
We are in this together bro, usijiskie mpweke😂 japo me keki nilikata mara moja tu.
 
Back
Top Bottom