Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu umejaribu ikakushinda siyo?kunywa pombe aisee imenishinda kabisaa hii tabia
Hahahaaa. Na kweli mdogo wangu imekuwa kinyume kabisa mana mi huwa naangalia tu watu wakicheza na maji lakini sijawahi kushawishika nipo radhi niwe mtazamaji tu lakini si kuyaingia.Jamani.. Na imekuwa vice versa
Na wakati kuogelea mimi nimepumzika kwenye utu uzima huu..Lol..
Kweli hujawahi pingana ktk maisha yakoSijawahi kupigana.. Ule ugomvi wa kurushiana ngumi..
Ndio utaratibu uliojiwekea?Mm sijawahi kumnyonya mtu mateView attachment 1466724
hahaah madam kwa nini huipendi ccm wakati nchi ipo kwenye "laiti tilakiiii"....tunatembea vifua mbereee...sisi ni donaa kantliiSijawahi piga mswaki nje ya nyumba!..zile za kibongobongo!
°Sijawahi ipenda CCM
Unahisi Kila mtu atakundunda [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Uwiii!! Hadi dada yako nimekushinda mana kimtaani mtaani nliwahi kupigana na mvulana kipindi hicho niko mdogo wee alinidunda nakumbuka kulikuwa na mtaro mdogo tu pembeni akanidumbukiza humo nikaanza kulia hadi dada zangu wakaja kunitowa mana sikupigana tena ikabakia nalia tu huku huyo mvulana ananisubiria kwa juu nitoke aniongeze.
Ila toka hapo sijawahi kupigana mana nikawa mwoga hadi kwa wanawake wenzangu kwa hofu nikipigana nao watanipiga. [emoji28][emoji28]
hahaah madam kwa nini huipendi ccm wakati nchi ipo kwenye "laiti tilakiiii"....tunatembea vifua mbereee...sisi ni donaa kantlii
Pole jamani My Dada..Hahahaaa. Na kweli mdogo wangu imekuwa kinyume kabisa mana mi huwa naangalia tu watu wakicheza na maji lakini sijawahi kushawishika nipo radhi niwe mtazamaji tu lakini si kuyaingia.
Sijasema Maisha yangu..Kweli hujawahi pingana ktk maisha yako
Hapa nilikuwa najiuliza ni nini at least umenionesha. Sijawahi fanya birthday party wala hata kukata keki yenye jina langu. Poor me 😁Sijawahi kufanya birthday party
Hapa nilikuwa najiuliza ni nini at least umenionesha. Sijawahi fanya birthday party wala hata kukata keki yenye jina langu. Poor me 😁
Keki ya bday yangu kwa mara ya kwanza nilikula last yr, kikundi kilininunulia bt mwenyewe sijawah kununua wala kuhangaikia na haijawah kunipa mawazo hyo siku maana siku zingine bday inapitaga tu hivi hivi kama sina plan yoyote.Hata keki?
Kwenda club ilikuwaga ndio Hobie yangu kubwa when i was under 22.ila pombe sigara bangi hivi vitu sijawahi vitumiaaisee[emoji848][emoji848][emoji848] mi labda kunywa pombe na kwenda club ndo sijawahi
😄😄😄! Aisee...mie ni mwaka huu tu sijafanya!ndo uanaume lakini
We are in this together bro, usijiskie mpweke😂 japo me keki nilikata mara moja tu.Hapa nilikuwa najiuliza ni nini at least umenionesha. Sijawahi fanya birthday party wala hata kukata keki yenye jina langu. Poor me 😁