Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Sure...yaani uhuni mwingine hapanaMe hata wa sigara tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sure...yaani uhuni mwingine hapanaMe hata wa sigara tu
Sijawahi kusex na mwanaume na haitakuja kutokea,[emoji777]
Sijawahi kwenda kiwanja chochote cha mpira kushangilia japo rafiki zangu wengi ni wana michezo, [emoji2359]
Sijawahi kuomba mtu nisiyemjua pesa,[emoji724]
Sijawahi kukataliwa nikitongoza, [emoji23]
Hahaa tunahesabika nahisi.Vizuri,wanawake wasiopenda hizi mambo naona kama mpo wachache
Daladala tu,mwendo wa level seatUnatumia usafiri gani?
Kweli aiseeSerious mkuu !!!
GoodNishakuelewa
Ni kitu cha kawaida mbona, tatizo mmeitia ubaya lakini mmea hauna tabu na mtu,
Kikubwa usiwe mgomvi sababu ukiuvuta unakupa maconfidence yote sasa ukiwa ka chokozi utajikuta aidha huna meno au umemtoa mtu meno.
Unaogopa ama hutaki tu maana kama hutaki inawezekana kutoitumia maana hata mimi kupanda kwenye boda tena highway kwa kilometres nyingi sijawahiKweli aisee
Hiyo ya mwisho😂Sijawahi kusex na mwanaume na haitakuja kutokea,[emoji777]
Sijawahi kwenda kiwanja chochote cha mpira kushangilia japo rafiki zangu wengi ni wana michezo, [emoji2359]
Sijawahi kuomba mtu nisiyemjua pesa,[emoji724]
Sijawahi kukataliwa nikitongoza, [emoji23]
Kweli wanainasibisha na uhuni, ila ukijiwekea kwa wiki unapiga hata stick moja tu, hakika utakua mwenye akili kubwa, nguvu nyingi na afya tele.tatizo bhangi ishaonekana ni ya wahuni yaani mtu akianza kutumia ashahesabiwa kama failure ila mimi nina marafiki wanatumia na wapo peace sana. Kwenye kung'olewa meno hapo hata walevi wanahusika [emoji23]
Haters watasema najifagilia kumbe akha mwaya ukweli mtupu,Hiyo ya mwisho[emoji23]
Good girl, kua natural ndio inafaa,Kucha bandia ama chochote cha bandia mwilini kwangu, kubandika makope and the like
Kuvaa wigi, nilishawahi once sikurudia maana niliona kama nimebeba dunia kichwani
Kubeba ndoo kubwa ya maji, ni kitu cha kawaida kwa wanawake wengi ila me siwezi...naiona nzito
Kuepua sufuria jikoni bila mshikio ama cha kushikia
Nikitu cha kawaida mkuu .. Hauoni kuwa kuna nchi zilizo endelea zimeiruhusuHivi bhangi ni kitu cha kawaida. Mimi sijaitaja maana sijawahi kutumia na sijawahi kuona ni kitu cha kawaida
No1&2 inakufanya uwe Unique,hongeraKucha bandia ama chochote cha bandia mwilini kwangu, kubandika makope and the like
Kuvaa wigi, nilishawahi once sikurudia maana niliona kama nimebeba dunia kichwani
Kubeba ndoo kubwa ya maji, ni kitu cha kawaida kwa wanawake wengi ila me siwezi...naiona nzito
Kuepua sufuria jikoni bila mshikio ama cha kushikia
Hongera 😀 inaonekana una nyota kaliHaters watasema najifagilia kumbe akha mwaya ukweli mtupu,
[emoji23][emoji23][emoji23]
Ahsante dear.Good girl, kua natural ndio inafaa,
Endelea hivyo hivyo.