Kitu gani cha kawaida hujawahi kufanya?

Kitu gani cha kawaida hujawahi kufanya?

Inabidi uwajue walio negative, ni wengi mno huhitaji hata certificate kuwajua! Ukishawajua, wewe sasa unakuwa unafanya kinyume nao, lakini kwa yale ya kwao yaliyo negative tu! Mtu akiiponda Kenya, wewe unaanza kutafuta sifa za Kenya halafu unaisifia, akiiponda SGR unafanya hivyo vile vile. Hata hivyo inabidi kiwe ni kitu kinachotoka rohoni mwako kabisa, na si maigizo! Maana wakati mwingine unaweza ukajikuta unaigiza kuwa positive halafu kumbe uko negative, ambayo sasa ni worst case scenerio kuzidi hata ya yule ambaye yuko negative. Ukiwakubali watu kwa STRENGTHS zao bila kujali ni marafiki au maadui, you are likely to be one of the strongest positive persons in the world. Usimponde mtu aliyefanya jambo jema na zuri, kisa tu ni adui yako. Adui akifanya jema msifie, na rafiki akifanya baya, muonyeshe kuwa hujaridhika.
Asante mkuu
 
Kuna mambo mengine Kama hujawahi fanya, usije jiroga kujaribu hata kwa ushawishi wowote, utakuwa Mwanzo wako mbaya ktk maisha yako
 
Kucha bandia ama chochote cha bandia mwilini kwangu, kubandika makope and the like

Kuvaa wigi, nilishawahi once sikurudia maana niliona kama nimebeba dunia kichwani

Kubeba ndoo kubwa ya maji, ni kitu cha kawaida kwa wanawake wengi ila me siwezi...naiona nzito

Kuepua sufuria jikoni bila mshikio ama cha kushikia
🙄🙄Aisee!
 
Back
Top Bottom