Ulijiroga wewe mwenyewe wala hakuna aliyekuroga,inaelekea huyo mwanamke alikua kakutawala sana na ulimfanyia kila jambo alilolitaka,Inaniuma mpaka kesho aliniambia nijifanye kaka yake basi nikawa shemeji kwa mshkaji,nahisi aliniloga sio bure
Mimi ninayo hizi za kisasa flat 55" full HD vipi upo tayari?Nilihongwa TV ya chogo nimpe marinda, nikiangalia siku Hizi TV za chogo hazina issue nayawazia marindraaaa yanguuuuu.
hapana mkuu kwa Akili zangu ninavyozijua alinilogaUlijiroga wewe mwenyewe wala hakuna aliyekuroga,inaelekea huyo mwanamke alikua kakutawala sana na ulimfanyia kila jambo alilolitaka,
So, ulifanya hayo kwa udhaifu wako tu juu yake acha kutafuta mchawi.
Pole mm nitakuhonga flat unipe papuchi sitaki marinda..Nilihongwa TV ya chogo nimpe marinda, nikiangalia siku Hizi TV za chogo hazina issue nayawazia marindraaaa yanguuuuu.
Haya ndio madhara ya kuthamini vitu badala ya utu,vitu hushuka thamani yake bali utu haushuki thamani yake.Nilihongwa TV ya chogo nimpe marinda, nikiangalia siku Hizi TV za chogo hazina issue nayawazia marindraaaa yanguuuuu.
Wabahili utawajua tu!