Inferior Complex
JF-Expert Member
- Oct 17, 2014
- 3,655
- 5,023
Kingine nakumbuka
Kipindi nipo chuo nilikuwa Sina mkopo Wala nini
Lakini college yetu (Napahifadhi)
Kulikuwa Na wamama WA makazini ambao walikuwa wapo wanaongeza ujuzi
Kidume ikabidi nijiongeze nikawa najiweka safi as real gentleman
Kijana mstarabu nisiye Na makuu wala skendo
Lengo ilikuwa nifanikiwe kukamata hata wa3
Kweli wadau nilifanikiwa kutoka nao japo now NAJUTA kwa dhambi nilizokuwa nafanya ukichek ni wake za WATU
Lakini maisha yalinifanya niwe vile
Nikawa natembea nao Na nilihakikisha hawajuan Na walikuwa wananilea mpaka nilipomaliza chuo!
Huwa najiulizaga hivi wanawake akili zao zipo wapi
Hata katika maisha nikawa Na hofu ya kuja kunikuta now Nina watt lakini KUHUSU mke SITAKI kabisa kusikia coz nikikumbuka niliyokuwa nawafanyia wanaume wenzangu wenye wake zao Mungu ndo anajua
Kipindi nipo chuo nilikuwa Sina mkopo Wala nini
Lakini college yetu (Napahifadhi)
Kulikuwa Na wamama WA makazini ambao walikuwa wapo wanaongeza ujuzi
Kidume ikabidi nijiongeze nikawa najiweka safi as real gentleman
Kijana mstarabu nisiye Na makuu wala skendo
Lengo ilikuwa nifanikiwe kukamata hata wa3
Kweli wadau nilifanikiwa kutoka nao japo now NAJUTA kwa dhambi nilizokuwa nafanya ukichek ni wake za WATU
Lakini maisha yalinifanya niwe vile
Nikawa natembea nao Na nilihakikisha hawajuan Na walikuwa wananilea mpaka nilipomaliza chuo!
Huwa najiulizaga hivi wanawake akili zao zipo wapi
Hata katika maisha nikawa Na hofu ya kuja kunikuta now Nina watt lakini KUHUSU mke SITAKI kabisa kusikia coz nikikumbuka niliyokuwa nawafanyia wanaume wenzangu wenye wake zao Mungu ndo anajua