Midekoo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2015
- 45,757
- 246,786
Ndio kwani nyuma kwako kumeziba???Kwaiyo nyuma pako wazi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio kwani nyuma kwako kumeziba???Kwaiyo nyuma pako wazi?
Hihiiiiiiiiiiiiii jomoniiiiiBila shaka alikuwa ni beef lasagna
Hebu ngoja nijeUsiogope mimi nimeshatangulia Nakusubiria
duuuhMie nilihongwa kibendi(mimba)
Eehh!! Mwenzangu.duuuh
DoooooohNilihongwa TV ya chogo nimpe marinda, nikiangalia siku Hizi TV za chogo hazina issue nayawazia marindraaaa yanguuuuu.
Viporo eeehAliyekuwa Demu wangu wa chuo kikuu mke wa mtu sasa hivi alinihonga Iphone 5s.
Mpaka leo naitumia kila nikinunua simu nyingine inaharibika.
Ila ananitafutaga mara kwa mara tunapasha kiporo.
Duh..pole sana dear ila umenichekesha sana mpaka watu wananishangaa..!!!!!!!Nilihongwa TV ya chogo nimpe marinda, nikiangalia siku Hizi TV za chogo hazina issue nayawazia marindraaaa yanguuuuu.
SawaaEehh!! Mwenzangu.
Vingi aisee nimehongwa ila kuhonga yeah bby nimempa viatu na mashati.
Nasubiri kwa hamu anko JujuNa mimi baadaye nakuhonga.....kaa mkao wa kuhongwa na Ngabu leo/kesho!!
Nasubiri kwa hamu anko Juju
Yaani Li simu yangu anataka yeye ndo aimiliki. Nikimpa nyingine hataki anataka hii hii ninayoitumia kuongelea ndo aichukueIla anko Li msumbufu hahahahaaaa.
Lakini mjanja pia! Kudos.
Yaani Li simu yangu anataka yeye ndo aimiliki. Nikimpa nyingine hataki anataka hii hii ninayoitumia kuongelea ndo aichukue