Kitu gani kikubwa ulichowahi kuhonga au kuhongwa ambacho hutakisahau maishani mwako?

Kitu gani kikubwa ulichowahi kuhonga au kuhongwa ambacho hutakisahau maishani mwako?

Aliyekuwa Demu wangu wa chuo kikuu mke wa mtu sasa hivi alinihonga Iphone 5s.
Mpaka leo naitumia kila nikinunua simu nyingine inaharibika.

Ila ananitafutaga mara kwa mara tunapasha kiporo.
Viporo eeeh
 
Back
Top Bottom