Kitu gani kikubwa ulichowahi kuhonga au kuhongwa ambacho hutakisahau maishani mwako?

dah,mimi nilishawahi kuhonga 500(jero) liliniuma sana mpaka nikataka nirudishe muamala sema ndo nlikua nshachelewa
 
Nilimuhonga elfu 20 mpaka leo nikikumbuka mapigo ya moyo yanaongezeka.Nifanyeje ili nipone?
 
Alikuwa na mume?
 
Sisi ambao hatujawahi kuhongwa naona huu uzi hautuhusu kabisa🚶🚶
 
Dah mm sio kikubwa ila kimeniuma sn. nimeenda kwa kwa dem kuonanane maeneo hvi ya jioni nimevaa sweta langu la jinsi na earphones zangu mpya kavingangania nimemuachia alafu wiki mbele ananiambia tuachane dah vitu vyangu viliniuma sn nimeshidwa kumdai.
ila kuna madem njaa sn miaka hii sijue tatizo nn wakuu.
 
[emoji3]Alichukua sweta na earphone au hadi jeans?
 
Niliwahi kumnunulia Melanie miwani ya Versace. Ilikuwa inauzwa dola 500.

Hiyo ndo ilikuwa mara ya kwanza na ya mwisho kuhonga maishani mwangu.

I’m way too smart for that bullshit.
We msukuma wacha ubahili lol
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…