Mr. Django
JF-Expert Member
- Jul 25, 2014
- 1,830
- 2,428
Usiyebahili umeshahonga nini tujuze?Wabahili utawajua tu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usiyebahili umeshahonga nini tujuze?Wabahili utawajua tu!
Pole ya nini, kwani alibakwa? Si alijichagulia mwenyewe thamani ya makalio yake ni TV!!!Duh..pole sana dear ila umenichekesha sana mpaka watu wananishangaa..!!!!!!!
Mapigo shemViporo eeeh
Najua shemelaMapigo shem
mh, alikutatua marinda?Nilihongwa TV ya chogo nimpe marinda, nikiangalia siku Hizi TV za chogo hazina issue nayawazia marindraaaa yanguuuuu.
Nilimuhonga elfu 20 mpaka leo nikikumbuka mapigo ya moyo yanaongezeka.Nifanyeje ili nipone?Habari zenu jamani JF,
Niwaulize kitu wana ndugu: Ni kitu gani kikubwa ambacho uliwahi kuhonga/kuhongwa na mpenzi wako ambacho kamwe huwezi kukisahau?
Mimi nimewahi kuhonga vitu vya ndani yaani full house material na niliwahi kumkodia gari hawara yangu mwingine siku ya harusi yake sijui aliniroga? Nikikumbuka machozi yanatiririka maana nilikodi Range mbili na Costa 3.
Alikuwa na mume?Kipindi nasoma shule uboizini(shule kapuni)
Kuna mwl mmoja alikuwa anapenda Sanaa vijana
Nikawa Na date naye duuh Yule madam alikuwa ananihonga hadi mitihan ananiletea
Ilikuwa mitihan ikikaribia nilikuwa sisomi coz nilikuwa napewa
Kubwa zaidi ambalo amenihonga mpaka Leo sitosahau ni kunipa possible ya Necta 6!
Ilinifanya niwe top japo nilihongwa
Now daz kazeeka!
Sema honga yake ilifanya nionekane mtu katika WATU
Na walioendelea kula hayo marinda walikuhonga nini?Nilihongwa TV ya chogo nimpe marinda, nikiangalia siku Hizi TV za chogo hazina issue nayawazia marindraaaa yanguuuuu.
Pole sana. Mambo ya sodoma na gomora...!!!Nilihongwa TV ya chogo nimpe marinda, nikiangalia siku Hizi TV za chogo hazina issue nayawazia marindraaaa yanguuuuu.
[emoji3]Alichukua sweta na earphone au hadi jeans?Dah mm sio kikubwa ila kimeniuma sn. nimeenda kwa kwa dem kuonanane maeneo hvi ya jioni nimevaa sweta langu la jinsi na earphones zangu mpya kavingangania nimemuachia alafu wiki mbele ananiambia tuachane dah vitu vyangu viliniuma sn nimeshidwa kumdai.
ila kuna madem njaa sn miaka hii sijue tatizo nn wakuu.
😂 😂 😂Nilihongwa TV ya chogo nimpe marinda, nikiangalia siku Hizi TV za chogo hazina issue nayawazia marindraaaa yanguuuuu.
sweta la jeans na earphones mkuu vyote vilikuwa vipya[emoji3]Alichukua sweta na earphone au hadi jeans?
Nje ya mada.Na walioendelea kula hayo marinda walikuhonga nini?
[emoji23]Dah inauma balaa,mwanaume ukatoa kiroho safisweta la jeans na earphones mkuu vyote vilikuwa vipya
We msukuma wacha ubahili lolNiliwahi kumnunulia Melanie miwani ya Versace. Ilikuwa inauzwa dola 500.
Hiyo ndo ilikuwa mara ya kwanza na ya mwisho kuhonga maishani mwangu.
I’m way too smart for that bullshit.