Cardinal06
JF-Expert Member
- Jan 7, 2015
- 963
- 326
Mhindi wa kuchoma unapaka pilipili?? Kweli huo ni "uanaume wa dar uliotukuka"Kuona "mwanaume wa dar" anashindia chips kavu au mahindi ya kuchoma yaliyopakwa limao na pili pili!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mhindi wa kuchoma unapaka pilipili?? Kweli huo ni "uanaume wa dar uliotukuka"Kuona "mwanaume wa dar" anashindia chips kavu au mahindi ya kuchoma yaliyopakwa limao na pili pili!!
[emoji1] [emoji1] yaani nilikuwa na mzuka balaa na Bahari. Niliingia usiku kutokea Mkoani, Kesho yake nikadamkia kwenda baharini straight!!!Hongera mkuu wewe ulikuwa na lengo la kujifunza, kuna wengine walitaka kufika maisha club kwanza.
Ilikua mwaka gani?Kuona wanawake wanaojiuza barabarani.
hahahahaaaMimi vilinishangaza vingi sana lakini kikubwa zaidi kuliko vyote ni wanaume wa dar wachovu sana.....kuna jamaa alijikwaa kidgo tu wakati tunacheza Mpira.
Huwezi amini jamaa alilia kinoma kama mwanamke na mtaa mzima ukaongozana nae kumpeleka hospitali..... Tena walikodi taksi mbili.
Nilikwazika sana sio siri.....na lijamaa lipo comfortable kabisa yani
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Kuona wanawake wanaojiuza barabarani.
HahahaMimi vilinishangaza vingi sana lakini kikubwa zaidi kuliko vyote ni wanaume wa dar wachovu sana.....kuna jamaa alijikwaa kidgo tu wakati tunacheza Mpira.
Huwezi amini jamaa alilia kinoma kama mwanamke na mtaa mzima ukaongozana nae kumpeleka hospitali..... Tena walikodi taksi mbili.
Nilikwazika sana sio siri.....na lijamaa lipo comfortable kabisa yani
Mtoto wa watu nimetoka Tanga nilikua siamini hivi vitu ila kukuta wadada wamejipanga Kama mishkaki na hawaogopi hata watu ilikua jambo LA kushangaza kweli kweli[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Stori zipi za max na zembwela ?Dah nyie acheni wakuu Dar ya zamani ilikuwa na hadhi kwa watu wa mkoa. Nilikuwa nikirudi watu wanataka niwasimlie stori za akina Maxi na Zembwela halafu na kiswahili changu cha Kidaslamu haha nilikuwa nawakalisha.
Mimi nilishangazwa na watu kupanda daladala hata kama ni hatua 10 mbele..mtu anapanda daladala mwenge anashuka itvMtoto wa watu nimetoka Tanga nilikua siamini hivi vitu ila kukuta wadada wamejipanga Kama mishkaki na hawaogopi hata watu ilikua jambo LA kushangaza kweli kweli
HahahahahaaaaMimi nilishangazwa na watu kupanda daladala hata kama ni hatua 10 mbele..mtu anapanda daladala mwenge anashuka itv
Nilishangazwa sana wa watu wa dasilamu kwa hilo
HahahaaKuona "mwanaume wa dar" anashindia chips kavu au mahindi ya kuchoma yaliyopakwa limao na pili pili!!
Yaani!!!!hii kitu nikiona uwa nacheka sana. Eti wanawake nao wapi busy wanachovya wanakula.Zamani walikunywa wanaume tu siku hizi sijui wanawake wamegundua nini huko.