Kitu gani kilikuwa kinamfanya Magufuli amheshimu Edward Lowassa?

Lowassa hana matusi walaufuli vijembe na wakati wa kampeni 2015 hakuwahi kumtusi wala kumdhihaki magufuli , na magufuli alishalisemea hili live
 
Ushapata majibu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…