Kitu gani kilikuwa ‘Special’ kutoka kwa Ex wako?

Kitu gani kilikuwa ‘Special’ kutoka kwa Ex wako?

Kalikua kanajifanya kabingwa ka mapishi na ujuaji mara mavitunguu mabichi mara mikachumbali iliyomiksiwa na maparachichi nilikua nakula mavyakula yake kukaridhisha tu shenzy taipu.
 
Kalikua kanajifanya kabingwa ka mapishi na ujuaji mara mavitunguu mabichi mara mikachumbali iliyomiksiwa na maparachichi nilikua nakula mavyakula yake kukaridhisha tu shenzy taipu.
[emoji23][emoji23]
 
Kalikua kanajifanya kabingwa ka mapishi na ujuaji mara mavitunguu mabichi mara mikachumbali iliyomiksiwa na maparachichi nilikua nakula mavyakula yake kukaridhisha tu shenzy taipu.
Mkuu nimecheka san aisee
 
  • Thanks
Reactions: EEX
1. K ndogoo ile ukichomoa inalia kama Speedo

2. Wife Material Treatments... Kighetto ghetto lakini Msosi Bufee.

3. Massage hapa naomba nikazie... My wangu alikua anajua sana yaani sanaaa. One day kama utani tu Kigonjwa gonjwa nlikua sijiskii poa akanipea ile Full Body 2 Body Massage Daah!! Ndiyo siku nliona Pepo Fildaus imeshuka duniani.

D Chotara wa Kirangi & Mbulu wewe ndiyo ulitakiwa uwe Wife maana alinijulia sana Mama, sema sisi wanaume sometimes tuna tamaa za kisenge sana.

[emoji28][emoji28][emoji28] sio tamaa ndio fungu lako hilo mkuu
 
Back
Top Bottom