American Dream
JF-Expert Member
- Mar 18, 2022
- 313
- 352
Muda wa kumbuka hizo mbuzi Sina kabisa, nilipo pazuri haswaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Muda wa kumbuka hizo mbuzi Sina kabisa, nilipo pazuri haswaa
Mbwa tena 😂😂😂Alikuwa anajua kubembelezwa balaa Yan kupiga goti haoni shida
na King'ang'anizi mbwa yule hajui kuachwa Hadi nimejuta kumfahamu kha
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Utakuwa ulikuwa mtamu sana bibie.....Alikuwa anajua kubembelezwa balaa Yan kupiga goti haoni shida
na King'ang'anizi mbwa yule hajui kuachwa Hadi nimejuta kumfahamu kha
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Ahsante lakini.
Hakikaaa.
Sikupewa hata nafasi ya kuongea na kujitetea.Huna shukurani mkuu.. vipi katika kuomba msamaha uliruka kipengele cha kulia..?
Ungeitafuta usipopewa unatafuta mkuuSikupewa hata nafasi ya kuongea.
Alipiga chini Mazima... Ile ntolee.Nina imani bado.mnawasiliana[emoji23][emoji23]
cv yake nzito sana
I wish you could be there and be in my position.Ungeitafuta usipopewa unatafuta mkuu
[emoji23][emoji23]Kalikua kanajifanya kabingwa ka mapishi na ujuaji mara mavitunguu mabichi mara mikachumbali iliyomiksiwa na maparachichi nilikua nakula mavyakula yake kukaridhisha tu shenzy taipu.
Imagine mtu anakupikia wali na maharage halafu juu yake anakuwekea mavitunguu mabichi.[emoji23][emoji23]
Hata hivyo nisingefikia level yako.. we ni samaki..😂I wish you could be there and be in my position.
Mkuu nimecheka san aiseeKalikua kanajifanya kabingwa ka mapishi na ujuaji mara mavitunguu mabichi mara mikachumbali iliyomiksiwa na maparachichi nilikua nakula mavyakula yake kukaridhisha tu shenzy taipu.
1. K ndogoo ile ukichomoa inalia kama Speedo
2. Wife Material Treatments... Kighetto ghetto lakini Msosi Bufee.
3. Massage hapa naomba nikazie... My wangu alikua anajua sana yaani sanaaa. One day kama utani tu Kigonjwa gonjwa nlikua sijiskii poa akanipea ile Full Body 2 Body Massage Daah!! Ndiyo siku nliona Pepo Fildaus imeshuka duniani.
D Chotara wa Kirangi & Mbulu wewe ndiyo ulitakiwa uwe Wife maana alinijulia sana Mama, sema sisi wanaume sometimes tuna tamaa za kisenge sana.
[emoji23][emoji23][emoji23]Kalikua kanajifanya kabingwa ka mapishi na ujuaji mara mavitunguu mabichi mara mikachumbali iliyomiksiwa na maparachichi nilikua nakula mavyakula yake kukaridhisha tu shenzy taipu.
[emoji23][emoji23][emoji23]alikuwa mshenzi lazima awe mbwa [emoji1787]Mbwa tena [emoji23][emoji23][emoji23]
Sio alikuwa ananiona boya[emoji23][emoji23]Utakuwa ulikuwa mtamu sana bibie.....
Hamna utamu wako bibie ndio maana alikuwa anakugandaa