Kitu gani kimepelekea vijana wa kileo kuota Mvi Mapema?

Kitu gani kimepelekea vijana wa kileo kuota Mvi Mapema?

Swali hili limenilenga mimi, kiukweli mvi niliota mapema sana, naingia form one 1990 nilionyeshwa kuwa Kuna mvi kichwani mwangu sikuamini, nilimwambia aingoe nione dah ilinikera Sana

Sasahvi simetapakaa karibu kichwa kizima naitwa babu[emoji3][emoji3] ni mwendo wa super black tu
Huko nyuma niliambiwa nimeridhi toka ujombani maana wao ni kama mzee wa Minduli.

Mvi mapema zinazua maswali mengi Sana bila majibu japo wengi wanasema ni DNA, kufikiri Sana nk

Sent from my M2101K6G using JamiiForums mobile app
 
Sababu kubwa ni ngono ,ngono husanabusha kupoteza kiasi kikubwa Cha madini ya zinc Kwa wanaume,madini ya zinc ni kiambata muhimu sana kinachohusika kwenye uimarishaji wa kinga ya mwanamume.ukichunguza sana utakufa wanawake wa Rika Hilo hawana hizo mvi.kwa hyo kama unafanya ngono sana tafuta namna ya kureplace zinc unayoipoteza.kwa namna nyingine kama hizo mvi zinakuja mapema upo prone kuwa na magonjwa ya;
Cancer;
HIV
Sukar
Au kinga yako ni dhaifu
 
Swali hili limenilenga mimi, kiukweli mvi niliota mapema sana, naingia form one 1990 nilionyeshwa kuwa Kuna mvi kichwani mwangu sikuamini, nilimwambia aingoe nione dah ilinikera Sana

Sasahvi simetapakaa karibu kichwa kizima naitwa babu[emoji3][emoji3] ni mwendo wa super black tu
Huko nyuma niliambiwa nimeridhi toka ujombani maana wao ni kama mzee wa Minduli.

Mvi mapema zinazua maswali mengi Sana bila majibu japo wengi wanasema ni DNA, kufikiri Sana nk

Sent from my M2101K6G using JamiiForums mobile app
Mbona hii lugha siyo ya form one wa mwaka 1990?

Hivi huwa mnaona utamu gani kuandika vitu vya uongo?
 
Sababu kubwa ni ngono ,ngono husanabusha kupoteza kiasi kikubwa Cha madini ya zinc Kwa wanaume,madini ya zinc ni kiambata muhimu sana kinachohusika kwenye uimarishaji wa kinga ya mwanamume.ukichunguza sana utakufa wanawake wa Rika Hilo hawana hizo mvi.kwa hyo kama unafanya ngono sana tafuta namna ya kureplace zinc unayoipoteza.kwa namna nyingine kama hizo mvi zinakuja mapema upo prone kuwa na magonjwa ya;
Cancer;
HIV
Sukar
Au kinga yako ni dhaifu
Fafanua kidogo Dr.

Zinc inapoteaje, kwenye sperms au ile tu kusikia utamu?
 
GreatThinkers

Zamani mvi ilkuwa ni uzee na alama ya kula chumvi nyingi. Laki kuna vizee vilikuwa vinapiga age bila mvi.

Hali ya sasa ianatisha vijana wadogo below 40 years mvi kila mahali shida ni nini?
unaposema kila mahali unamaanisha nini 🤣 🤣
 
Suluhisho ni katiba mpya tu na kumuondoa Hangaya madarakani
 
Sasa Kuna watu ni baba zako wanaandika herufi kama "Xana,Asante,pw,bc nk
Sio kweli.

Baba zangu wote walishafariki dunia.
Amebakia baba mdogo mmoja tu wa nyumba ndogo ya babu, ambaye hawezi kuandika kwa sababu ya uzee.
 
Back
Top Bottom