ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 48,052
- 104,677
🤣🤣🤣nyeto na chumvini ni hatari kwa afya ya nywele mkuu!!Hahaha hiyo ya kuzama chumvini mzee mbona unatutisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣nyeto na chumvini ni hatari kwa afya ya nywele mkuu!!Hahaha hiyo ya kuzama chumvini mzee mbona unatutisha
Mbona hata Ke wanazo, wadada niliosoma nao wengi wana mvi, actually tukikutana huwa tunashangaana tu coz kama sio mvi basi ni upara.Sababu kubwa ni ngono ,ngono husanabusha kupoteza kiasi kikubwa Cha madini ya zinc Kwa wanaume,madini ya zinc ni kiambata muhimu sana kinachohusika kwenye uimarishaji wa kinga ya mwanamume.ukichunguza sana utakufa wanawake wa Rika Hilo hawana hizo mvi.kwa hyo kama unafanya ngono sana tafuta namna ya kureplace zinc unayoipoteza.kwa namna nyingine kama hizo mvi zinakuja mapema upo prone kuwa na magonjwa ya;
Cancer;
HIV
Sukar
Au kinga yako ni dhaifu
Fanya observation chief.Mkuu hiyo yamwisho inabidi niifanyie utafiti
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sasa Kuna watu ni baba zako wanaandika herufi kama "Xana,Asante,pw,bc nk
Wakati AI inaonekana kushika hatamuNi ma Great Thinkers. Wanafikiri sana.
🤣🥴Hivyo hivyo ulivyoelewa
Hii ndio sababu kubwa na ya kweli asilimia ✅Kupaka sana superblack
Hawa wanawake watatuuwa jaman wana gumu jaman dah..Ujenzi,English medium kwa watoto wetu,gari ya kutembelea + Wife mpiga kinanda [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] zimeota mapeeema sana kwangu pia
Pombe Ina mchango gani kwenye maishayako?😀kias ukubali ikutoe mviDaah, kwa umri wangu mdogo huu wa 30+ Mvi zimeshaanza kuota kichwani na kwenye kidevu... Sababu zangu
1. Gene
2. Pombe
3. Kutokupumzika (uchovu)
Watakupuuza kwa hili Jibu lako au huenda hata nawe pia ukawa Umendika Kinafiki au Kufurahisha tu Jukwaa ila Kisaikolojia ulichokiandika hapa ndiyo sahihi 100%Ni ma Great Thinkers. Wanafikiri sana.
Mchafuko wa hali ya hewa vyakula seli kuchoka fasta na viashiri kansaGreatThinkers
Zamani mvi ilkuwa ni uzee na alama ya kula chumvi nyingi. Laki kuna vizee vilikuwa vinapiga age bila mvi.
Hali ya sasa ianatisha vijana wadogo below 40 years mvi kila mahali shida ni nini?
GreatThinkers
Zamani mvi ilkuwa ni uzee na alama ya kula chumvi nyingi. Laki kuna vizee vilikuwa vinapiga age bila mvi.
Hali ya sasa ianatisha vijana wadogo below 40 years mvi kila mahali shida ni nini?
Maisha magumu vijana vichwa vinawaka moto.
Ugonjwa hio wa kupoteza melanin mwilini huwapata vijana wadogo hata vijana wa makamo wengine huwapata mpaka kwenye ngozi kabisa ngozi nyeusi inatafunwa inaondoka inabaki ngozi ya ndani yaan ile nyeusi inaondoka, kwa ni kupoteza melanin mwiliniHali ya sasa ianatisha vijana wadogo below 40 years mvi kila mahali shida ni nini?
Ni moja kati ya vitu vinavyonipa starehe, mvi kutoka zitatoka tuu ila pombe siachi 😂Pombe Ina mchango gani kwenye maishayako?😀kias ukubali ikutoe mvi