Kitu gani kinaendelea Baa za Dar?

Kitu gani kinaendelea Baa za Dar?

Ali Nassor Px

JF-Expert Member
Joined
May 6, 2022
Posts
2,384
Reaction score
3,926
Kama nilivyoanza hapo juu kuuliza kuna kitu gani kinaendelea ndani ya bar za Dar es Salaam.

Mmimi sio mtu wa maji ila napenda kujichanganya na wana siku moja moja kutazama EPL na wana huku tukipata maji na kutoa lock si unajua bhana maji ya baba ni mazuri kwa afya ya kiumbe hai yoyote yule.

Jambo ambalo linanishangaza na nakosa majibu. mara nyingi kila nikienda bar nakuta wahudumu wanabadilika.

Yani kila baada ya miezi mitatu au minne nakutana na wahudumu wapya nikijaribu labda kuwauliza yule fulani yupo wapi majibu wanayonipa kuwa hawajui alipo au kaacha kazi.

Sasa wajuzi ebu naomba munijuze nini kinaendeleaga kwenye bar za hapa Dar es Salaam mpaka wafanyakazi wahudumu wa kike hawadumu sana bar.
 
We mtoa mada una umri gani? Bila shaka we ni ke na unatokea usukumani ndani ndani huko kwa akina mayala! Kiufupi we ni mshamba na mgeni mjini hapa
 
We mtoa mada una umri gani? Bila shaka we ni ke na unatokea usukumani ndani ndani huko kwa akina mayala! Kiufupi we ni mshamba na mgeni mjini hapa
ni kweli me ni mshamna pia nina miaka 12 chief alaf natokea ndani ndani huko vijiji vya ujima life la zama za mawe
 
Mkuu.. huko ni mbugani, Hawajengi ufalme kwenye bar, wapo kutafta majani, so movements lazima ziwe nyingi
 
We mtoa mada una umri gani? Bila shaka we ni ke na unatokea usukumani ndani ndani huko kwa akina mayala! Kiufupi we ni mshamba na mgeni mjini hapa
Mbona kama umekaza sana
 
Mkuu.. huko ni mbugani, Hawajengi ufalme kwenye bar, wapo kutafta majani, so movements lazima ziwe nyingi
je chief yupo mtu ambae kila baada ya miezi kadhaa anaacha kazi ndani ya dar hii kazi zilivyokuwa tabu
 
inshu sio kuchukua namba sio kila demu mzuri ina maana natakiwa nimtongoze au nilale nae.

kuna wengine tunawapotezea tu na uo ndo uanaume kudhibiti hisia zako
Yeah,ndo uanaume.Nikajua kuna issue ulikuwa unafukuzia
 
Duuh, wanawake wote wa bar boss wewe umeamua ukomae na wahudumu?? Mpaka unarudi kuwaulizia sio poa 😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom