Kitu gani kinafanya watu wa Asia Mashariki (Wachina, Wajapan, Wakorea) kuwa na akili nyingi kushinda jamii nyingine zote duniani?

Kitu gani kinafanya watu wa Asia Mashariki (Wachina, Wajapan, Wakorea) kuwa na akili nyingi kushinda jamii nyingine zote duniani?

Nipe Credible source ya huu utafiti ๐Ÿ‘†
Katika masomo hao jamaa ni hatari haswa mathematical na physics ni hatari haswa

Complete-rankings-of-smartest-countries-based-on-math-and-science.png
 
Hivi ni kitu gani ambacho kinacho pelekea hawa watu kutoka mashariki mwa Asia wachina, wajapan, wakorea kuwa na akili nyingi kushinda jamii nyengine zote duniani ?


Hii ni kwa mujibu wa tafiti mbalimbali, hivyo nilikuwa nauliza ni kitu gani kinacho pelekea hawa watu kutuzidi sisi wengine wote.
Ile jamii yao iko homogeneous sana. Wanaamini katika race purity and superiority japo hawajioneshi kama Wayahudi.

Wao hawapendi kabisa kuoa nje ya jamii yao na hawataki kabisa wahamiaji kwenye nchi zao. Hii imesaidia ku preserve species yao kwa kiwango cha juu na hivyo kuwa rahisi kuwa na common goal wanapotaka kufanya maendeleo ya nchi zao.
 
Unaijua pressure power relationship.

Bado hatuja_press_iwa ipasavyo na maisha, ile kubebanabebana, harambee, nzengo zinatupa kupumua kidogo.
 
Bidii kubwa tuliyonayo vijana wa kitanzania kwa sasa ni hizi
1. kutandika mikeka ya kubet.
2. Kula tunda kimasihara, kudanga, kulelewa na mijishangazi.
3. Kununua bundle ili kufuatilia maisha ya wasanii, status za watu, kusaka umbea instagram na kupost vitu vya ovyo.
4. Kutwa nzima kushabikia simba na yanga, Diamond na Ally Kiba nk
5. Kuwa chawa wa wanasiasa
6. Kutaka kufanikiwa chap chap kupitia mafuta ya kina Mwamposa nk.
7. Kupambana kila mara kubadilisha smart phone, magari


Baada ya miaka kumi, tuje tujitafakari tupo wapi. Ndio utaelewa kwanini kuna jamii milele haziwezi kufanikiwa.
 
Hivi ni kitu gani ambacho kinacho pelekea hawa watu kutoka mashariki mwa Asia wachina, wajapan, wakorea kuwa na akili nyingi kushinda jamii nyengine zote duniani ?


Hii ni kwa mujibu wa tafiti mbalimbali, hivyo nilikuwa nauliza ni kitu gani kinacho pelekea hawa watu kutuzidi sisi wengine wote.
Akili ni nini?!
 
Bidii kubwa tuliyonayo vijana wa kitanzania kwa sasa ni hizi
1. kutandika mikeka ya kubet.
2. Kula tunda kimasihara, kudanga, kulelewa na mijishangazi.
3. Kununua bundle ili kufuatilia maisha ya wasanii, status za watu, kusaka umbea instagram na kupost vitu vya ovyo.
4. Kutwa nzima kushabikia simba na yanga, Diamond na Ally Kiba nk
5. Kuwa chawa wa wanasiasa
6. Kutaka kufanikiwa chap chap kupitia mafuta ya kina Mwamposa nk.
7. Kupambana kila mara kubadilisha smart phone, magari


Baada ya miaka kumi, tuje tujitafakari tupo wapi. Ndio utaelewa kwanini kuna jamii milele haziwezi kufanikiwa.
Ajira hakuna,watu wangekua na ajira wanarudi jioni nyumbani,hayo yote yasingekuwepo
 
Tafiti mbalimbali za kimataifa zinakataa statement yako.

Hizo tafiti zengine zimefanywa na hao hao wazungu
Hao unaosema wanaakili sijawahi ona wamevumbua hata operating system yoyote zaidi ya kucopy na ku-paste.
  • Linux
  • Android
  • Windows
  • IOS
  • Java
  • Symbian
  • Blackberry OS
Watu kutoka Asia wachina, wahindi na wajapan wamevumbua operating gani?
Utawadanganya wanaoangalia hadithi na video zenye makalio makubwa TikiTok
 
Hivi ni kitu gani ambacho kinacho pelekea hawa watu kutoka mashariki mwa Asia wachina, wajapan, wakorea kuwa na akili nyingi kushinda jamii nyengine zote duniani ?


Hii ni kwa mujibu wa tafiti mbalimbali, hivyo nilikuwa nauliza ni kitu gani kinacho pelekea hawa watu kutuzidi sisi wengine wote.
Hawali Ugali

Ugali unaoliwa daily na watu weusi unadumaza ubongo
 
Nimekutana na Wathai na Wakambodia hawana hata Akili.
 
Kama kukop na ku paste sio akili jaribu wewe bro.

Naomba ukopi tu hata kiberiti au toothpick

Bro hao jamaa ni akili sana bila mchina leo maisha ya Waafrika yangekuwa mabovu sana. Imagine ungevaa mtumba nguo 100% mpk leo

Imagine leo unacheki flat screen kwa sh. Laki 2 tu. Smartphone hadi kwa elfu 50 tu. Imagine bila mchina na ushindani wake, awepo LG, Sony na Samsung flat screen ingekuwa ndani kwa Mo tu na wenzie

Smartphone wangemiliki wateule tu dunia hii. Imagine Apple tu na Samsung na Sony ndio wangekuwa wazalisha Smartphone.

Ashukiriwe mchina sana. Leo wakandarasi hawanunui tena escavator ya CAT used kwa million 500tsh. Mchina anakupa Ligong Mpya kwa milioni 350[emoji3]

Ngoja niishie hapa kwanza ila wachina akili 100%
Kucopy na kupaste wala usiseme kuwa una akili ni ujinga tu. Wenye akili wanavumbua, wanatengeneza na kutengenezea brand zao ila wajinga wanacopy na kupaste kisha wanatumia brand za wenye wa akili.
Angalia kipindi kile simu za wenye akili zinatoka Nokia, Samsung au Motorola ilikuwa ni simu kweli unanunua lkn unakaa nayo sana ila wajinga wachina wakaanza kuingiza sokoni ikawa vurugu tupu, Nokia ya ovyo ya kichina, Samsung, iPhone n.k utaikuta ila ni takataka
Unawashukuru wachina kwa kuona wenye akili wanauza vitu bei rahisi ila kumbuka umasikini ni mkubwa sana ndiyo maana unawashukuru. Unaangalia Quantity kuliko Quality.
Unafurahia kununua TV ya kichina ya inchi 45 ya Skyworth kwa laki 2? Hiyo mzee ni takataka kbsa ukitaka kujua km unaangalia takataka
Tafuta mtu mwenye LG, Sony au Samsung nchi 45 au 75 na tafuta mtu mwenye brand ya kichina Hisense, Skyworth au yyte ya kichina ya inchi 45 au 75. Mzee utakuja kugundua kuwa tafuta hela umiliki Quality TV na siyo Quantity TV.
Quality TV ni nzuri sana hata km umenunua kwa bei kubwa, unaenjoy kitu safi, picha safi full raha.
Tafuta hela mkuu
 
Kucopy na kupaste wala usiseme kuwa una akili ni ujinga tu. Wenye akili wanavumbua, wanatengeneza na kutengenezea brand zao ila wajinga wanacopy na kupaste kisha wanatumia brand za wenye wa akili.
Angalia kipindi kile simu za wenye akili zinatoka Nokia, Samsung au Motorola ilikuwa ni simu kweli unanunua lkn unakaa nayo sana ila wajinga wachina wakaanza kuingiza sokoni ikawa vurugu tupu, Nokia ya ovyo ya kichina, Samsung, iPhone n.k utaikuta ila ni takataka
Unawashukuru wachina kwa kuona wenye akili wanauza vitu bei rahisi ila kumbuka umasikini ni mkubwa sana ndiyo maana unawashukuru. Unaangalia Quantity kuliko Quality.
Unafurahia kununua TV ya kichina ya inchi 45 ya Skyworth kwa laki 2? Hiyo mzee ni takataka kbsa ukitaka kujua km unaangalia takataka
Tafuta mtu mwenye LG, Sony au Samsung nchi 45 au 75 na tafuta mtu mwenye brand ya kichina Hisense, Skyworth au yyte ya kichina ya inchi 45 au 75. Mzee utakuja kugundua kuwa tafuta hela umiliki Quality TV na siyo Quantity TV.
Quality TV ni nzuri sana hata km umenunua kwa bei kubwa, unaenjoy kitu safi, picha safi full raha.
Tafuta hela mkuu
1. Mkuu kwenye electronics huwezi kuwa mwalimu wangu mkuu najua alafu najua tena.

Huwezi sema kila Sony au Samsung ni bora lets speak of TV. Kuna matoleo ya TCL na Hisense ni bora kuliko matoleo ya hizo Samsung na lg.

Kingine sio kila kitu mchina anakopi, ana brand zake bora na nzuri. Ndioaana hata Apple unayoisifu bado anatengeneza Mchina.

Samsung ame outsource Hizo Samsung zinatengenezwa na Mchina (xiaomi) pamoja na Vietnum isipokuwa model chache.
 
1. Mkuu kwenye electronics huwezi kuwa mwalimu wangu mkuu najua alafu najua tena.

Huwezi sema kila Sony au Samsung ni bora lets speak of TV. Kuna matoleo ya TCL na Hisense ni bora kuliko matoleo ya hizo Samsung na lg.

Kingine sio kila kitu mchina anakopi, ana brand zake bora na nzuri. Ndioaana hata Apple unayoisifu bado anatengeneza Mchina.

Samsung ame outsource Hizo Samsung zinatengenezwa na Mchina (xiaomi) pamoja na Vietnum isipokuwa model chache.
Apple anatengeneza mchina? ๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜
Hiyo namba 1 uliyoandika unaijua vizuri au umeajiandikia tu ili mradi uonekane JF?
๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€
Acha kunidanganya Hisense na TCL inaweza kumshinda Samsung, LG na Sony? ๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜
Tafuta Hisense inchi 75 na Samsung inchi 75 angalia uone ulivyopigwa kwenye Hisense hata TCL hivyo hivyo.
Nishathibitisha hilo jibu likaja tafuta hela utumie Quality na siyo Quantity.
 
Hivi ni kitu gani ambacho kinacho pelekea hawa watu kutoka mashariki mwa Asia wachina, wajapan, wakorea kuwa na akili nyingi kushinda jamii nyengine zote duniani ?


Hii ni kwa mujibu wa tafiti mbalimbali, hivyo nilikuwa nauliza ni kitu gani kinacho pelekea hawa watu kutuzidi sisi wengine wote.
Sio kwamba wana akili sana. Ni kwamba maisha yamewabana sana so inawalazimu kutumia akili sana kuishi. Hata sisi tuna akili ila tumerilax. Binadamu wengi tunakufa na akili zetu hatujazitumia hata robo. Kwa mfano mji wa Tokyo una watu ml 30. Nguvu ya kuishi hapo ni ya kiume ili uweze kutoboa maana wote ni wasomi.
 
Akili

Huo sio ugunduzi Wachina wanaiga kama walivyo Wajapan Technology walipewa na Waingereza na Wamarekani.

Hata sasa hivi Maspy wao wengi wako Silicon Valley wanasubiri Wazungu wavumbue halafu wao waige.
Na nyinyi igeni mkuu.
 
Back
Top Bottom