Kitu gani kinafanya watu wa Asia Mashariki (Wachina, Wajapan, Wakorea) kuwa na akili nyingi kushinda jamii nyingine zote duniani?

Kitu gani kinafanya watu wa Asia Mashariki (Wachina, Wajapan, Wakorea) kuwa na akili nyingi kushinda jamii nyingine zote duniani?

Kama kukop na ku paste sio akili jaribu wewe bro.

Naomba ukopi tu hata kiberiti au toothpick

Bro hao jamaa ni akili sana bila mchina leo maisha ya Waafrika yangekuwa mabovu sana. Imagine ungevaa mtumba nguo 100% mpk leo

Imagine leo unacheki flat screen kwa sh. Laki 2 tu. Smartphone hadi kwa elfu 50 tu. Imagine bila mchina na ushindani wake, awepo LG, Sony na Samsung flat screen ingekuwa ndani kwa Mo tu na wenzie

Smartphone wangemiliki wateule tu dunia hii. Imagine Apple tu na Samsung na Sony ndio wangekuwa wazalisha Smartphone.

Ashukiriwe mchina sana. Leo wakandarasi hawanunui tena escavator ya CAT used kwa million 500tsh. Mchina anakupa Ligong Mpya kwa milioni 350[emoji3]

Ngoja niishie hapa kwanza ila wachina akili 100%
Smartphone 50 ya aje hyo dingii
 
Aina ya vyakula Bora wanavyokula ambayo wewe kwa kudanganywa na waarabu unaviitabharamu.

🔷 Nguruwe

🔷 Nyoka

🔷Mbwa

🔷Vyura

🔷 Wadudu mbalimbali na vyakula vya baharini
 
hata kuiga na kufanikiwa kupita mulemule nako kunahitaji akili nzuri. mbona sisi tunashindwa kuiga?

ila innovations zote mpya na za kisasa, huletwa na mashetani na zilishakuwepo kitambo sana huko kwenye ulimwengu wa giza, na wote wanaofanya innovations huwa ni maajenti na hata kama sio ajenti jua anatumiwa.

angalia kwenye Biblia, ulishawahi kuona genius hata mmoja? majenius wote huwa ni wanadamu wenye vinasaba na mashetani, na hata ukiwaangalia akili zao utakuta sio watu wa kawaida, kama machini fulani, hawapo sawa. na ulimwengu mwingi wa giza milango hiyo wazungu wanayo.
Mhm
 
Hivi ni kitu gani ambacho kinacho pelekea hawa watu kutoka mashariki mwa Asia wachina, wajapan, wakorea kuwa na akili nyingi kushinda jamii nyengine zote duniani ?


Hii ni kwa mujibu wa tafiti mbalimbali, hivyo nilikuwa nauliza ni kitu gani kinacho pelekea hawa watu kutuzidi sisi wengine wote.
Utamaduni, malezi....
 
Wanaupinga ukoloni kwa vitendo
Hawajapokea dini za kutumwa.
Kwa maana hiyo wapo huru kufikiri.
Ndio maana hadi wana maandishi yao.
Kama hujui ulipotoka, huwezi jua unapokwenda.
N:B
Hawana mikataba ya DP WORLD
 
Tatizo linaanzia juu, imagine makonda anateuliwa tena kuwa kuwa katibu mwenezi wa chama kilichopo madarakani unategemea upate watu wenye akili nchi hii[emoji16]
 
M
Wazungu ndio brain ya dunia na wayahudi,hao wengine ni wenzetu ni vile wao wameenda extra mile kidogo katika kuchapa kazi na kukopy na kupaste teknolojia.

Mkuu sio kweli, wagunduzi wa kwanza kabisa ni waafrika. Fuatilia historia vizuri.
 
hata kuiga na kufanikiwa kupita mulemule nako kunahitaji akili nzuri. mbona sisi tunashindwa kuiga?

ila innovations zote mpya na za kisasa, huletwa na mashetani na zilishakuwepo kitambo sana huko kwenye ulimwengu wa giza, na wote wanaofanya innovations huwa ni maajenti na hata kama sio ajenti jua anatumiwa.

angalia kwenye Biblia, ulishawahi kuona genius hata mmoja? majenius wote huwa ni wanadamu wenye vinasaba na mashetani, na hata ukiwaangalia akili zao utakuta sio watu wa kawaida, kama machini fulani, hawapo sawa. na ulimwengu mwingi wa giza milango hiyo wazungu wanayo.
Umeongea suala ambalo kuna mserbia aliwahi kuniambia. Inawezekana ni kweli kabisa. Alinambia gunduzi nyingi tunazoziona si akili ya kibinadamu. Yule mtasha ni symbologist alikua. Ana mambo na maelezo ya ajabu sana mpaka nikawa namuogopa sana.
 
Teknolojia ni pana sana mno huwezi kusema lazima wafnye kitu gani ..

Sasa tambua wachina hawa ukiwapelekea kitu chochot kile hata kama ni kipya kwao mfano teknolojia fulani ,hawawezi kuchukua muda washacopy.

Usiseme kwamba ni kucopy leo hii hapa Tanzania hata kucopy hatuwezi labda kukariri na kucopy notes..

Hao jamaa kweny masomo ya hisabati , physics wako njema hata wahindi nao ni noma.
Mkuu nadhani hii SGR ya kwetu ilitakiwa kipande Cha moro - Dodoma tukijenge wenyewe maana tushajifunza kwa kipande cha dar - moro
 
Mkuu nadhani hii SGR ya kwetu ilitakiwa kipande Cha moro - Dodoma tukijenge wenyewe maana tushajifunza kwa kipande cha dar - moro
😅😅Tungekuwa na uwezo huo hakika tungekuwa mbali..

Hawa wenzetu kwa kuiba teknolojia fasta .
 
Hivi ni kitu gani ambacho kinacho pelekea hawa watu kutoka mashariki mwa Asia wachina, wajapan, wakorea kuwa na akili nyingi kushinda jamii nyengine zote duniani ?


Hii ni kwa mujibu wa tafiti mbalimbali, hivyo nilikuwa nauliza ni kitu gani kinacho pelekea hawa watu kutuzidi sisi wengine wote.
Mwenye akili kubwa ni mzungu. Wengine wanafuata
 
kitu cha kwanza, wanakula sana vyakula vinavyoboresha ubongo wakati wa ukuaji, sea food. pili, wanasisitiza sana watoto wao wasome na wanajali sana elimu. korea kusini kwa mfano, vifo vingi vya kujirusha gorofani vinatokana na wanafunzi ambao hawajafaulu mitihani. kitu kingine, ni kuzaa watoto wachache unaoweza kuwatunza na kuwapa mahitaji yote kuanzia chakula, shule za awali hadi vyuo vikuu, kingine ni mifumo yao ya elimu, mtu anasoma kile anachoenda kukifanya na miundombinu inawasapoti. pia, wanatumia sana suppliments. hata hapa kwetu tungekuwa hivyo watu wangetuona kuwa tuna akili nyingi.

tofauti na bongolala, tunakula ugali, viazi, magimbi, michapati, hatuli nyama ya kutosha, hatuli samaki za kutosha kwasababu hatuna pesa. familia za asia samaki kila siku wanaweza kuwepo, bongo kwa wiki unaweza kununua smaaki kidogo sana na mnagombania na watoto (badala ya kuwaaahca watoto wale). vyakula vyetu vingi havina madini ya kukuza ubongo wa watoto vizuri.
Nimekubaliana na ulichoandika mtaalamu na pia umenichekesha hapo tunapogombaniana samaki mmoja na watoto...Hong Kong wale Wananchi wana akili sana niliwahi kutana na mtoto mdogo ana miaka 13 alinipa ramani ya treni mimi nilikua sina na niliuliza kufika Shamshuipoo nafikaje enzi hizo nikiwa fresh fresh mtoto nilipomuomba anielekeze abiria wengi wapo busy alisimama kwa Confidence harafu akatoa simu na Ramani akanielekeza akaniachia ramani mimi nikaendelea na safari yangu kwa yale maelezo sikupotea nikasema aisee wenzetu wapo mbali sana umri huu ni kama naongea na mtu mzima wakati hapa mtoto wa kidato cha tano nampeleka shule huko Tanga au Kilimanjaro...
 
Sifa ya kwanza ya Akili ni Utawala.

Kama jamii haijawahi kuongoza na kutawala Dunia huwezi kuihesabu kama jamii yenye Akili.
Wazungu na jamii zao ndio wenye Akili
 
wajapan walihamasishana chini ya meiji revolution 1868+ hali iliyopelekea mapinduzi makubwa ya kiviwanda,imagine unatumwa ukasome kwa niaba ya japan na unaambiwa kama ni kuiba mbinu(technology) fanya juu chini kwaajili ya japan,huyu mtu ni tofauti sana na dogo anayesubiria mkopo akale bata na kuwaza kuwa chawa ili avizie teuzi.
 
Wana akili kwa sababu hawachagui vyakula nyoka , mbwa, konokono ndo viumbe vyenye akili
 
Ni watu wachache wameweza jibu swali langu, wengi wanaandika maelezo yaliyo nje na swali
 
Back
Top Bottom