Hii thread ni especially Kwa wale kataa ndoa ..ndoa ni jambo jema sana hua nashangaa sana nkiona mtu anasema hataki kuoa kuolewa naamin zipo sababu Kwa Kila mtu zinazomfanya akatae ndoa .....tiririkeni ni sababu zipi zinawafanya mkatae ndoa
Kuna mambo ya msingi kujiuliza kwa ulimwengu wa leo,
1. Unachukua kiumbe ambaye ameliwa weeee mpaka anajua saisi zooote za mboo, na bado unalipa mahari (hela yako inaondoka)
2. Akifika tu, anaanza kutumia hela zako tena kwa kulindwa na sheria kabisa, kwamba usipo mpa pesa ya kutumia (chakula, mavazi, malazi nk) anaweza kuuza kakiwanja kako uliko katafuta kwa jasho haswaaa!
3. Usiporidhika n'a tabia zake za baada ya kufunga ndoa, (maana kabla ya ndoa wanakuwa vere sabmisivu), ukamtaka arudi kwao, mnagawana vya kwako, wakati vya kwake hata haviguswi!
Kwa ujinga huo si bora waendelee kuliwa tu, n'a kila mmoja akomae kujiandalia uzee wake? Ya nini kukaribisha na kujitia kitanzi na mtu ambaye hujui hatma ya tabia yake kama itakuwa favorable kwako au itakuwa majuto!
Tukulane kupunguza nyege, then kila mmoja aishi maisha yakeeee