Kitu gani kinakufanya ukatae ndoa

Kitu gani kinakufanya ukatae ndoa

Kukosekana kwa Kazi & kipato ni kikwazo kwa 75% ya vijana

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
kabisa chief ugumu wa maisha ndio sababu kubwa inayosababishwa na ukosefu wa ajira zakueleweka...hata waliojiajiri wengi wao ni ungaunga tu hawapati kipato cha kukidhi mahitaji hata kwa 65%...sijui kuhusu nchi nyingi ila kuna nchi kama korea kusini na japan raia wengi hawataki kabisa maswala ya ndoa na sababu kubwa wadai ni ugumu wa maisha pia!
 
Kuna mambo ya msingi kujiuliza kwa ulimwengu wa leo,
1. Unachukua kiumbe ambaye ameliwa weeee mpaka anajua saisi zooote za mboo, na bado unalipa mahari (hela yako inaondoka)

2. Akifika tu, anaanza kutumia hela zako tena kwa kulindwa na sheria kabisa, kwamba usipo mpa pesa ya kutumia (chakula, mavazi, malazi nk) anaweza kuuza kakiwanja kako uliko katafuta kwa jasho haswaaa!

3. Usiporidhika n'a tabia zake za baada ya kufunga ndoa, (maana kabla ya ndoa wanakuwa vere sabmisivu), ukamtaka arudi kwao, mnagawana vya kwako, wakati vya kwake hata haviguswi!

Kwa ujinga huo si bora waendelee kuliwa tu, n'a kila mmoja akomae kujiandalia uzee wake? Ya nini kukaribisha na kujitia kitanzi na mtu ambaye hujui hatma ya tabia yake kama itakuwa favorable kwako au itakuwa majuto!

Tukulane kupunguza nyege, then kila mmoja aishi maisha yakeeee
Mkuuu Kuna age itafika miaka 60 huko na kuendelea utahitaj kukaa na Mtu wa kukuliwaza
 
Mm nakataa ndoa maana nilichokuwa nakitaka nimeshakipata (mtoto) .

Mama yake nilimtoa sadaka akaolewa uko akaniachia zawadi ya mtt ss kijana anakuwa tu na baba cfikirii kuoaa mpk kufaa nshapata mrithi huyu mmoja anatoshaa...

Kataa NDOA kijana ,ila kuwa na mtt muhmu....
Hujapata mwanamke akakukonga moyo Mkuu..ukimpata lazima utafkiria kumuoa Ili usimpoteze
 
Una uhakika kuwa ukioa mtazeeka pamoja Mkuu.?

MAMBO MENGINE NI IMAGINATIONS TU, NA SIO UHALISIA.

KaziKweliKweli/JobTrueTrue
Mkuu lazima uishi Kwa positive mind set ubaya ushajiwekea negative mindset kuhusu ndoa...ila yote yanawezekana
 
Hizi ndio sababu.
1) Wanawake wana past za kuwa na wanaume lukuki kimahusiano. EX HATONGOZWI

2) Wanawake wanaingia kwenye ndoa kwasababu ya Kitu na sio upendo.

3) Wanawake wanachepuka sana kwenye ndoa zao.

4) Ubinafsi wa wanawake (Chake chake, changu Chetu).

5) Wanawake wamekuwa wagumu kuvumilia shida. Mwanaume ukiyumba kiuchumi tegemea kupata Dharau za kutosha kwa wife

6) Sheria ya ndoa inatukandamiza wanaume. Ukiachana na Mwanamke mnagawana pasu kwa pasu.

Nyengine wataziandika Wakuu

KaziKweliKweli/JobTrueTrue
Hiyo no 2 ni janga la kitaifa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hujapata mwanamke akakukonga moyo Mkuu..ukimpata lazima utafkiria kumuoa Ili usimpoteze
Tulishatokaa uko Kwenye kukongwa moyo nikiwa na miaka 23_25 ndio biashara ya mapenzi iliisha kwangu mkuu..
 
Mwanamke a
Una uhakika kuwa ukioa mtazeeka pamoja Mkuu.?

MAMBO MENGINE NI IMAGINATIONS TU, NA SIO UHALISIA.

KaziKweliKweli/JobTrueTrue
Binti akikwambia msishiriki ngono kabla ya ndoa utakubali?
 
Maisha ya sasa independent woman ni kigezo kikubwa maana huyo akisema anakupenda anamaaanisha cha msingi awe na hekima na busara. Otherwise hawa wengine wanakuja kwenye maokoto tu.
 
7oreq4 (1).jpg
 
Kuna mambo ya msingi kujiuliza kwa ulimwengu wa leo,
1. Unachukua kiumbe ambaye ameliwa weeee mpaka anajua saisi zooote za mboo, na bado unalipa mahari (hela yako inaondoka)

2. Akifika tu, anaanza kutumia hela zako tena kwa kulindwa na sheria kabisa, kwamba usipo mpa pesa ya kutumia (chakula, mavazi, malazi nk) anaweza kuuza kakiwanja kako uliko katafuta kwa jasho haswaaa!

3. Usiporidhika n'a tabia zake za baada ya kufunga ndoa, (maana kabla ya ndoa wanakuwa vere sabmisivu), ukamtaka arudi kwao, mnagawana vya kwako, wakati vya kwake hata haviguswi!

Kwa ujinga huo si bora waendelee kuliwa tu, n'a kila mmoja akomae kujiandalia uzee wake? Ya nini kukaribisha na kujitia kitanzi na mtu ambaye hujui hatma ya tabia yake kama itakuwa favorable kwako au itakuwa majuto!

Tukulane kupunguza nyege, then kila mmoja aishi maisha yakeeee
Epuka vijiwe vya chaputa ufanikiwe kwenye maisha
 
Wanawake ni wabinafsi sana....wachoyo.Akipata kidogo tu zaidi ys mme dharau zinaanza kwa mbali.Wanawake wengi kwenye ndoa bahili wa papuchi na wengine wanaotoa, wanatoa kwa ajili ya kuepuka kero tu..na si upendo ama hisia.
 
Back
Top Bottom