kabisa chief ugumu wa maisha ndio sababu kubwa inayosababishwa na ukosefu wa ajira zakueleweka...hata waliojiajiri wengi wao ni ungaunga tu hawapati kipato cha kukidhi mahitaji hata kwa 65%...sijui kuhusu nchi nyingi ila kuna nchi kama korea kusini na japan raia wengi hawataki kabisa maswala ya ndoa na sababu kubwa wadai ni ugumu wa maisha pia!Kukosekana kwa Kazi & kipato ni kikwazo kwa 75% ya vijana
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Muosha huoshwaWanawake wanapenda KULIPIZA visasi
Mkuuu Kuna age itafika miaka 60 huko na kuendelea utahitaj kukaa na Mtu wa kukuliwazaKuna mambo ya msingi kujiuliza kwa ulimwengu wa leo,
1. Unachukua kiumbe ambaye ameliwa weeee mpaka anajua saisi zooote za mboo, na bado unalipa mahari (hela yako inaondoka)
2. Akifika tu, anaanza kutumia hela zako tena kwa kulindwa na sheria kabisa, kwamba usipo mpa pesa ya kutumia (chakula, mavazi, malazi nk) anaweza kuuza kakiwanja kako uliko katafuta kwa jasho haswaaa!
3. Usiporidhika n'a tabia zake za baada ya kufunga ndoa, (maana kabla ya ndoa wanakuwa vere sabmisivu), ukamtaka arudi kwao, mnagawana vya kwako, wakati vya kwake hata haviguswi!
Kwa ujinga huo si bora waendelee kuliwa tu, n'a kila mmoja akomae kujiandalia uzee wake? Ya nini kukaribisha na kujitia kitanzi na mtu ambaye hujui hatma ya tabia yake kama itakuwa favorable kwako au itakuwa majuto!
Tukulane kupunguza nyege, then kila mmoja aishi maisha yakeeee
Hujapata mwanamke akakukonga moyo Mkuu..ukimpata lazima utafkiria kumuoa Ili usimpotezeMm nakataa ndoa maana nilichokuwa nakitaka nimeshakipata (mtoto) .
Mama yake nilimtoa sadaka akaolewa uko akaniachia zawadi ya mtt ss kijana anakuwa tu na baba cfikirii kuoaa mpk kufaa nshapata mrithi huyu mmoja anatoshaa...
Kataa NDOA kijana ,ila kuwa na mtt muhmu....
Una uhakika kuwa ukioa mtazeeka pamoja Mkuu.?Mkuuu Kuna age itafika miaka 60 huko na kuendelea utahitaj kukaa na Mtu wa kukuliwaza
Mkuu lazima uishi Kwa positive mind set ubaya ushajiwekea negative mindset kuhusu ndoa...ila yote yanawezekanaUna uhakika kuwa ukioa mtazeeka pamoja Mkuu.?
MAMBO MENGINE NI IMAGINATIONS TU, NA SIO UHALISIA.
KaziKweliKweli/JobTrueTrue
Hiyo no 2 ni janga la kitaifaHizi ndio sababu.
1) Wanawake wana past za kuwa na wanaume lukuki kimahusiano. EX HATONGOZWI
2) Wanawake wanaingia kwenye ndoa kwasababu ya Kitu na sio upendo.
3) Wanawake wanachepuka sana kwenye ndoa zao.
4) Ubinafsi wa wanawake (Chake chake, changu Chetu).
5) Wanawake wamekuwa wagumu kuvumilia shida. Mwanaume ukiyumba kiuchumi tegemea kupata Dharau za kutosha kwa wife
6) Sheria ya ndoa inatukandamiza wanaume. Ukiachana na Mwanamke mnagawana pasu kwa pasu.
Nyengine wataziandika Wakuu
KaziKweliKweli/JobTrueTrue
Tulishatokaa uko Kwenye kukongwa moyo nikiwa na miaka 23_25 ndio biashara ya mapenzi iliisha kwangu mkuu..Hujapata mwanamke akakukonga moyo Mkuu..ukimpata lazima utafkiria kumuoa Ili usimpoteze
Binti akikwambia msishiriki ngono kabla ya ndoa utakubali?Una uhakika kuwa ukioa mtazeeka pamoja Mkuu.?
MAMBO MENGINE NI IMAGINATIONS TU, NA SIO UHALISIA.
KaziKweliKweli/JobTrueTrue
Kumjua sasa huyo wa kanisa na wa kijana devil ndipo shughuli maana viumbe hawa wanatuzo ya uigizaji...Kuepuka hii tafuta mwanamke mwenye hofu ya Mungu uenjoy mema ya nchi
Epuka vijiwe vya chaputa ufanikiwe kwenye maishaKuna mambo ya msingi kujiuliza kwa ulimwengu wa leo,
1. Unachukua kiumbe ambaye ameliwa weeee mpaka anajua saisi zooote za mboo, na bado unalipa mahari (hela yako inaondoka)
2. Akifika tu, anaanza kutumia hela zako tena kwa kulindwa na sheria kabisa, kwamba usipo mpa pesa ya kutumia (chakula, mavazi, malazi nk) anaweza kuuza kakiwanja kako uliko katafuta kwa jasho haswaaa!
3. Usiporidhika n'a tabia zake za baada ya kufunga ndoa, (maana kabla ya ndoa wanakuwa vere sabmisivu), ukamtaka arudi kwao, mnagawana vya kwako, wakati vya kwake hata haviguswi!
Kwa ujinga huo si bora waendelee kuliwa tu, n'a kila mmoja akomae kujiandalia uzee wake? Ya nini kukaribisha na kujitia kitanzi na mtu ambaye hujui hatma ya tabia yake kama itakuwa favorable kwako au itakuwa majuto!
Tukulane kupunguza nyege, then kila mmoja aishi maisha yakeeee
Inawezekana ila kiukweli kwa kizazi chetu hiki panahitajika subira, maombi na jitihada sana maana hizi ni nyakati za "huna pesa hakuna anayekujua"Mkuu hapa unaweza tafuta mwanamke mkaanza wote chini mkasaka wote