Kitu gani kinakukera unapotaka kuingia faragha na mpenzi wako?

Kitu gani kinakukera unapotaka kuingia faragha na mpenzi wako?

masai dada

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2013
Posts
16,207
Reaction score
14,343
Ile kitu haiitaji kanuni nyingi sana na complication ni popote na saa yoyote kwa wale wenye wake zao na wanaishi bado hawana mtoto, lakini pia kwa wapenzi wanaotembeleana au kwenda sehemu kwa ajili ya hilo tu.

Kipi kinakukera mpenziwe anavyofanya au kusema wakati wewe akili yako imefunga mafaili yote lililopo ni moja tu juu ya meza, kula maraha unakuta mnataka tu kuingia ile pepo baby anasema "ngoja nikaoge" mmeanza unasikia kwa mashosti "ile laki unajua naihitaji sana "wanaume "ngoja nipumzike kidogo"

Binafsi hukereka zaidi na hii kuzungumza habari za ''hela, kazi'' wakati tunataka kufanya mapenzi. Tafadhali tumia lugha ya staha kueleza kero yako tunaweza kujifunza kwamba upande huu haupendi hiki na upande ule haupendi hiki kumbuka hapa sio JLW kwahiyo samahani halahala.
 
Mimi nakareka na lugha za kuibiwa kama ,jamani, simu yangu nimeangusha na screen za smart phone ghali, baby.Napenda binti yupo straight forward na kama anahitaji msaada aseme wazi wazi na sio kimtego mtego.
 
Mimi nakareka na lugha za kuibiwa kama ,jamani, simu yangu nimeangusha na screen za smart phone ghali, baby.Napenda binti yupo straight forward na kama anahitaji msaada aseme wazi wazi na sio kimtego mtego.

Na aseme waziwazi lakini sio wakati wa faragha SI NDIO????
 
kumbushia baadae

mkiwa mmepumzikam

unajua atoto lazima uheshimu kazi???????
kazi ya faragha usichezee bora uchezee ya mkoloni

kuongea wakati wa faragha ni sawa na kuongea mambo ya nyumbaninkwa mkoloni

I was jusd kidding honey, hiyo kitu naipenda we acha tu, sitakagi iingiliane na kitu kingine chochote!!
I hate when am allready ooon alafu mtu anaanza kubring up mambo ambayo yalishapita like ugomvi au maudhi yaliyopita
 
Last edited by a moderator:
I was jusd kidding honey, hiyo kitu naipenda we acha tu, sitakagi iingiliane na kitu kingine chochote!!
I hate when am allready ooon alafu mtu anaanza kubring up mambo ambayo yalishapita like ugomvi au maudhi yaliyopita

tena bora umeongea
unakuta mtu ananza kuleta habari za ugomvi uliokwisha kitambo jamanii !
 
Alikua anapenda sana kubring up ugonvi au vitu vilivopita,mpaka ikawa kabla sijaenda tunaongea kene simu zile misunderstanding zote nizimalize alafu ndo naenda but still hakomi..damn that girl
 
Mwingine alipata smartphone,basi tukikutana lazima 1 hour nzima tupoteze kwenye simu yake mara nimfundishe hiki,nimuunge huku mara tatizo hili.
 
Mwingine alipata smartphone,basi tukikutana lazima 1 hour nzima tupoteze kwenye simu yake mara nimfundishe hiki,nimuunge huku mara tatizo hili.

Ndo umwambie sasa kwamba hupendi hilo swala

na sio wewe tu
unakuta mtu anangangania sim kama nini

sim hasa wadada na baadhi ya wakaka hutumia muda mwingi kqenye sim akiwa nampenzi wake jambo linalowanyima muda mwingi wa kuongea na YUPO RADHI MUINGIE FARAGHA DAKIKA 5 HARAKA HARAKA ARUDI KWENYE SIMU hana muda wa kuongea na kuwa romantic wala kumuuuliza mwenzio apendacho atakacho
mbadilishe chakula msibadilishe yeye kawaida tu
ki ukweli hilo swala ni changamoto
binafsi mi naona ni bora kutoa si mlio na kuiweka mbali mkiwa na wapenzi au kuzima kabisa
 
Back
Top Bottom