Kitu gani kinakukera unapotaka kuingia faragha na mpenzi wako?

Kitu gani kinakukera unapotaka kuingia faragha na mpenzi wako?

kusema mambo uyapendao na ambayo huyapendi mkiwa faragha ni Kujua mambo hahahha

MAPENZI YAKO YAKO HATIHATI mmmh kama huo ni ujuzi basi wewe nakuweka kama namba A katika magari
hamna kitu hahaha

sidai tugulu....
 
ndo umwambie sasa kwamba hupendi hilo swala

na sio wewe tu
unakuta mtu anangangania sim kama nini

Hili tatizo la simu lilikuwa langu pia, mpaka one day ilipobamizwa ukutani ndio nikakoma, doooh kasimu kangu kaliniumaaa!!
 
Hahaha..kuna watu ni comedians humu ! Lazima ucheke tu...
 
Pale anapobisha nikitaka huduma ya 0713

Embu hata ujioneee aibu mwenyewe
mpaka kuitaja umeshindwa umebaki kuiwwkea a.k.a maana ni aibu tupu

HUO SIO UJANJA mmejaa hapo muhimbili na vibobo pembeni njia zimeziba mkiwa wazeee

hivi kweli ashki ndo zinakufanya uchezee kinyesi??
kama uwezi kuridhika na hiyo ya kawaida hata hiyo nyingine uwezi na utaishia pabaya
 
I was jusd kidding honey, hiyo kitu naipenda we acha tu, sitakagi iingiliane na kitu kingine chochote!!
I hate when am allready ooon alafu mtu anaanza kubring up mambo ambayo yalishapita like ugomvi au maudhi yaliyopita
nimekubamba..ulinambia we mtt lol
 
hakuna kinachoniturn off nikisema naingia ni naingiiia kama TINGATINGA
 
embu hata ujioneee aibu mwenyewe

mpaka kuitaja umeshindwa umebaki kuiwwkea a.k.a maana ni aibu tupu



HUO SIO UJANJA mmejaa hapo muhimbili na vibobo pembeni njia zimeziba mkiwa wazeee



hivi kweli ashki ndo zinakufanya uchezee kinyesi??

kama uwezi kuridhika na hiyo ya kawaida hata hiyo nyingine uwezi na utaishia pabaya

masai dada...freedom of choice ujuwe•!
 
Last edited by a moderator:
Hili tatizo la simu lilikuwa langu pia, mpaka one day ilipobamizwa ukutani ndio nikakoma, doooh kasimu kangu kaliniumaaa!!

simu ni janga
ukicheza unakuwa mtumwa
chakula utaunguza na hata faragha perfomance inashuka
 
Back
Top Bottom