Kitu gani kinakukera unapotaka kuingia faragha na mpenzi wako?

Kitu gani kinakukera unapotaka kuingia faragha na mpenzi wako?

Masai dada safi sana. Umeanzisha uzi umesupport mwanzo mwisho. Wengine wanaanzi uzi wanapotelea mtini. Big up. To be honest nimekupenda bure..... safi sana...

nimejifunza mengi kwenye huu uzi
hope wenxangu pia wamejifunza
 
Yaani sipendi nimeingia kwa faragha halafu binti anaanza kuniambia nimechoka mara sijui sijisikii vizuri mara naumwa yaani sipendi balaa
 
hako katabia kakubanwa na mkojo kabla ya nanii kanawakumba wengi na kanakera sio mchezo

masai dada sio wote wanaenda kukojoa....nilikuwa nadate na kaka mmoja hivi, kabla ya mechi anadai mkojo umembana...siku nikamvizia, kumbe anaenda meza vidonge au anakunywa mafuta ya taa.
Khaaaa!!!! wanaume watu wa ajabu sana
 
Last edited by a moderator:
masai dada sio wote wanaenda kukojoa....nilikuwa nadate na kaka mmoja hivi, kabla ya mechi anadai mkojo umembana...siku nikamvizia, kumbe anaenda meza vidonge au anakunywa mafuta ya taa.
Khaaaa!!!! wanaume watu wa ajabu sana

yawezekana kweli aiseee
akafu unakuta hana wala tatizo unakuta ni kutaka tu kuweka heshima kwenye gemu

ila madam b hadi mafuta taaa ????? aisee
 
Last edited by a moderator:
Au utakuta unaingia faragha na demu halafu anaanza kukupa masharti mara aaah! hivi mi sikai unamwambia basi kaa hivi aaah! mi sikai yaani kila staili unayojaribu kumwambia akae ili umpe raha nawe upate anazingua yaani sipendi balaa kwani inakata stimu kabisa au utakuta demu mwingine masharti yake yapo kwenye muda utakuta anakwambia muda huu mfano alfajiri sitaki na sipendi kufanya ukimgusa utasikia sitaki bhana yaani inakera sana jameni. Ila mabinti/wanawake fahamuni kuwa nyie mmepewa jukumu la kujenga nyumba zenu tofauti na hapo mtazibomoa kwa mikono yenu wenyewe.
 
Ile kitu haiitaji kanuni nyingi sana na complication ni popote na saa yoyote kwa wale wenye wake zao na wanaishi bado hawana mtoto, lakini pia kwa wapenzi wanaotembeleana au kwenda sehemu kwa ajili ya hilo tu.

Kipi kinakukera mpenziwe anavyofanya au kusema wakati wewe akili yako imefunga mafaili yote lililopo ni moja tu juu ya meza, kula maraha unakuta mnataka tu kuingia ile pepo baby anasema "ngoja nikaoge" mmeanza unasikia kwa mashosti "ile laki unajua naihitaji sana "wanaume "ngoja nipumzike kidogo"

Binafsi hukereka zaidi na hii kuzungumza habari za ''hela, kazi'' wakati tunataka kufanya mapenzi. Tafadhali tumia lugha ya staha kueleza kero yako tunaweza kujifunza kwamba upande huu haupendi hiki na upande ule haupendi hiki kumbuka hapa sio JLW kwahiyo samahani halahala.
Hahaha
 
Kumbushia baadae

mkiwa mmepumzikam

unajua atoto lazima uheshimu kazi???????
kazi ya faragha usichezee bora uchezee ya mkoloni

kuongea wakati wa faragha ni sawa na kuongea mambo ya nyumbaninkwa mkoloni

waje wapumzike huku kidogo......

Na aseme waziwazi lakini sio wakati wa faragha SI NDIO????

Si utoe experience yako na wewe sio kusoma ya wenzako tu

anabania teh teh

vipi kuhusu wewe Heaven on earth?

Mpenzi wako ndo anachukia au wewe????
mi nishaitupaga chini na mpaka sasa hivi imepasuka screen

sipendi simu iite kabisa wakati huo

Ndo umwambie sasa kwamba hupendi hilo swala

na sio wewe tu
unakuta mtu anangangania sim kama nini

sim hasa wadada na baadhi ya wakaka hutumia muda mwingi kqenye sim akiwa nampenzi wake jambo linalowanyima muda mwingi wa kuongea na YUPO RADHI MUINGIE FARAGHA DAKIKA 5 HARAKA HARAKA ARUDI KWENYE SIMU hana muda wa kuongea na kuwa romantic wala kumuuuliza mwenzio apendacho atakacho
mbadilishe chakula msibadilishe yeye kawaida tu
ki ukweli hilo swala ni changamoto
binafsi mi naona ni bora kutoa si mlio na kuiweka mbali mkiwa na wapenzi au kuzima kabisa
 
Back
Top Bottom