Kitu gani kinakukera unapotaka kuingia faragha na mpenzi wako?

Kitu gani kinakukera unapotaka kuingia faragha na mpenzi wako?

Sijajiandikisha kaka. Ntakuja unipe mwelekezo manake mwaka wa maamuzi mepesi huu.
Wifi atapika vile vitumbua vyake?
Yaan...umeshajiandikisha...? Nawahi folen ya bvr ivo....jpili njoo tunywe gahwa home
 
Niko kwenye siku zangu,badala ya kukwambia neno hili mapema anasubiri mnaanza kukamatana kwa ajili ya pambano ndio anakueleza,sipendi.
 
Masai dada safi sana. Umeanzisha uzi umesupport mwanzo mwisho. Wengine wanaanzi uzi wanapotelea mtini. Big up. To be honest nimekupenda bure..... safi sana...
 
Harufu ya papuchi na ugogo

papuch always ina kaharufu kabakotamanisha
watu hadi wananusa chuppi za wake zao
cc Nyani Ngabu

ila sasa kuna ile inoashiria kwamba uchi umeshambuliwa na vijidudu

ugogo ni nini?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom