desree
Senior Member
- Nov 8, 2018
- 196
- 372
We mpe huyo kwanza,mm sina harakaSipendi mtoto mzuri ateseke bila kupata faraja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We mpe huyo kwanza,mm sina harakaSipendi mtoto mzuri ateseke bila kupata faraja
Kuna demu mmoja nilimuuliza hili swali akasema kwanza asikunyime hela na akupigie simu kila mara[emoji16][emoji16][emoji16]Wakati huo hujui usiku wa jana yake au jana mchana amefanywa nini.
Kwangu mimi hata aninunie sawa tu ila asigawe mzigo kwa raia basi. Na tukiwa kunako 6x6 anipe kwa moyo wake wote.
Huyo kwangu ni dhahiri ananipenda.
Sitanyi tena huo ujinga aisee, nimeamua kutulia [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Na ipo siku utaropoka tu [emoji23]
😲😲😲😲ananipa Tigo
leta yako kijana 🏃🏾♀️We Bata inamaana hata hicho unachotendewa kwenye avatar bado hakitoshi tu..?? We utakuwa na ukoo wa ndungulire..🤣
Nimecheat 2 times, nimeshamwambia tuachane 3 times. Ila wala hana mpango wa kuachana na mimi, huwa ananiambia nikichoka kufanya ujinga wangu yeye yupo haendi kokote.
Ila juzi kati aliniambia endapo nitafungua mdomo wangu kumwambia tuachane tena, this time ataondo bila kuangalia nyuma.
Siku hizi nimekuwa mtulivu, sitaki mambo mengiKuna mtu anaanza kum consider.. play your cards right chief
Haha haha hahaMe mwanamke akinipa papuchi inatosha mengine abaki nayo! Maan kwanza me spendi mtu anishobokee huwa naskia hasira!
I feel you bro.Wengine hatuna bahati hiyo ya kupendwa so sad kwa kweli
hahah kitu pekee mwanamke anaweza mfanyia mtu ampendae ni hiko
Au hapo napo sipendwi ndugu zangu
Nimecheat 2 times, nimeshamwambia tuachane 3 times. Ila wala hana mpango wa kuachana na mimi, huwa ananiambia nikichoka kufanya ujinga wangu yeye yupo haendi kokote.
Ila juzi kati aliniambia endapo nitafungua mdomo wangu kumwambia tuachane tena, this time ataondo bila kuangalia nyuma.