Analyse
JF-Expert Member
- Jan 19, 2014
- 17,637
- 47,413
[emoji23][emoji23][emoji23] acha basi dada angu, mbona tunatishana asubuhi ya Pasaka?Wanawake akili zetu zilivyo ni kwamba baadae ukikolea atakuja kulipiza,hili jiandae nakupa siri kama mwanamke
Now anajua hujakolea hataki kutumia nguvu sana utamuelewa badae kwanini alikwambia ye yupo haendi popote [emoji3]