[emoji23][emoji23][emoji23] acha basi dada angu, mbona tunatishana asubuhi ya Pasaka?Wanawake akili zetu zilivyo ni kwamba baadae ukikolea atakuja kulipiza,hili jiandae nakupa siri kama mwanamke
Now anajua hujakolea hataki kutumia nguvu sana utamuelewa badae kwanini alikwambia ye yupo haendi popote [emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23] acha basi dada angu, mbona tunatishana asubuhi ya Pasaka?
Sasa kama hutamani kumzalia mwanaume wako utajiita unampenda!? Maana humpendi kiivyo ni basi tu upo naeSerious kubeba mimba ndio ishara ya upendo[emoji15][emoji15]
Basi ndio maana naambiwa simpendi [emoji23][emoji23][emoji23]
Mtego gani jamani πΉπΉπΉUkiona mwanamke anakusumbua kuhusu mimba Huo ni mtego
ππKusema kweli kenzy nakupenda sana na unauhadaa moyo wangu! Ni vile natamani uwe wangu lakini nashindwa nianzie wapi na leo nimeamua nifunguke ya moyoniπππππ
Akiweka password kwa simu yake, tukiwa wote ako anaweka flight mode au Silent Mode, sometimes ako ana delete inbox yote!View attachment 1741024
Habari wana JF,
Kumekuwa na tafsiri nyingi tofauti juu ya kupendwa, hebu kama wewe ni mwanaume au mwanadada tuelezane ni mambo gani yanaweza kukuhakikishia kwamba unapendwa kwa dhati na mwenza au mpenzi wako...
Pia soma: Do you feel LOVED?
Hii ndo point kuuFacial expression when i look to her
Na kunipa mzigo always
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]We Bata inamaana hata hicho unachotendewa kwenye avatar bado hakitoshi tu..?? We utakuwa na ukoo wa ndungulire..[emoji1787]
AmeeeeenMi hata sielewi yani, ilimradi napumua inatosha.
Ahahah...angalia usibugi bro.Huyo anakuweka mtu kati sio muda mrefu.Ukitoa tu hiyo mimba yako umpe baba hapo kazi kwisha.Hela hatoomba ila utatoa kwa lazima ππ ukibisha utapelekwa ustawi πAmenisumbua sana nimpe mimba, hanisumbui kuomba omba hela na mawasiliano yapo intact!
Ahahahahah ntalea tu haina tatizo mkuuAhahah...angalia usibugi bro.Huyo anakuweka mtu kati sio muda mrefu.Ukitoa tu hiyo mimba yako umpe baba hapo kazi kwisha.Hela hatoomba ila utatoa kwa lazima ππ ukibisha utapelekwa ustawi π
Mnapita kinyeleNa sie tusio hitaji kupendwa au kupenda, tuna comment vipi?