To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
๐๐๐๐Una uhakika gani kuwa alimkataa?
Mbona Mama yake alisema kuwa Baba yake ni Fulani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
๐๐๐๐Una uhakika gani kuwa alimkataa?
Mbona Mama yake alisema kuwa Baba yake ni Fulani
Anadanga. Vp mtoto ni wako au wa madanga yake ma4 pande tofauti tofauti.
Mtoto akotoka copy fresh wa kwetu akitoka kafanana naye hapana kubwa na akitoka kafanana na danga basi wa danga.
Simple 2
NI minyama tu, Akipita minyama. Anatingisha minyama tu, Vile akipita minyaaama.Duh wew kwanini ukale kwa danga
Sio nyama nimesema minyama.Nyama ata kuku anazo mbona
Kukataa mimba ambayo una uhakika kua ni yako sio poa,ila kama una wasiwasi basi gharamia mimba mpaka mtoto azaliwe kisha pima DNA TEST
Kama sio mwanao basi fanya yale matunzo ya mimba ni kama ulitoa sadaka kwa kile kiumbe kilichokua tumboni na Mungu atakubariki ila uache zinaa.
Sio nyama nimesema minyama.
Cjui unanielewa vzr lkn
Ni minyama, ongezea MI mwanzo hapo
Hata ukichelewa still utakata moto dingi[emoji23] utakufa mapema mshikaji
Hata ukichelewa still utakata moto dingi
Nishaaongea nae sana
Ana umri gani?
Kwa Nini usijaribu patia mimba, alafu utupe majibu,Hellow
Mimi mpaka leo sijuwagi kwanini washikaji wanakataa mimba za mademu zao ilihali wao ndio wahusika
Ujue kuna vitu unatakiwa ujiepushe navyo kwenye lile tendo mfano hutaki kuzaa na huyo mwanamke basi mwaga njee au vaa kondom au kama huwezi ukitoka hapo mpe p2 japo sio nzuri sana.
Sasa wewe hujafanya hayo yote na mtoto wa watu kakuambia nipo danger unakomaa kumwagia ndani mimba imekaa halafu unamkimbia na una mkataa akatafute aliempa akamtafutie wapi wakati wewe ndio muhusika
Ase asitokee kidume akamfanyia hivi dada yangu nitachinja mtu.
Mkuu unadate na dem unajikuta mpo wa4 wote anawatembezea sasa mtu kama huyu unategemea akibeba mimba ukubali hata kama ni ya kwangu lezima nichimbe. Mm kuna mmoja aliniambia ana mimba yangu nikailea, hadi anajifungua vizuri tu. Sasa tukagombana siku moja baada ya wiki akaniambia mtoto amefariki. Nikamwambia sawa.Hellow
Mimi mpaka leo sijuwagi kwanini washikaji wanakataa mimba za mademu zao ilihali wao ndio wahusika
Ujue kuna vitu unatakiwa ujiepushe navyo kwenye lile tendo mfano hutaki kuzaa na huyo mwanamke basi mwaga njee au vaa kondom au kama huwezi ukitoka hapo mpe p2 japo sio nzuri sana.
Sasa wewe hujafanya hayo yote na mtoto wa watu kakuambia nipo danger unakomaa kumwagia ndani mimba imekaa halafu unamkimbia na una mkataa akatafute aliempa akamtafutie wapi wakati wewe ndio muhusika
Ase asitokee kidume akamfanyia hivi dada yangu nitachinja mtu.
๐ฏ๐คKubeba mimba inatakiwa iwe makubaliano sio kushtukizana tu kama tuko vitani....
Yaani mmama mtu mzima ndio anakuumiza kichwa, mzee?