Kitu gani kinapelekea wanaume wenzangu kukataa mimba?

Kitu gani kinapelekea wanaume wenzangu kukataa mimba?

Wote waliwi wana makosa.
-- mwanamke kicheche hana uhakika mimba ya nani..
-- wanaume wakwepa majukumu ndy mabingwa wa kukataa ujauzito..

Hila inategemeana wamekutana sehemu gani
 
Mkuu unadate na dem unajikuta mpo wa4 wote anawatembezea sasa mtu kama huyu unategemea akibeba mimba ukubali hata kama ni ya kwangu lezima nichimbe. Mm kuna mmoja aliniambia ana mimba yangu nikailea, hadi anajifungua vizuri tu. Sasa tukagombana siku moja baada ya wiki akaniambia mtoto amefariki. Nikamwambia sawa.
Baada ya miezi kadhaa akaniambia anataka hela ya matunzo ya mtoto. Sijamtumia hadi kesho mtoto ana miaka 2.8 ila nataka akifika umri wa shule ndo nitatake over

Si uchague sahihi
 
Ni mrembo sana
IMG-20221128-WA0005.jpg
 
Kukataa mimba ambayo una uhakika kua ni yako sio poa,ila kama una wasiwasi basi gharamia mimba mpaka mtoto azaliwe kisha pima DNA TEST

Kama sio mwanao basi fanya yale matunzo ya mimba ni kama ulitoa sadaka kwa kile kiumbe kilichokua tumboni na Mungu atakubariki ila uache zinaa.
Kupima dna sio rahisi tu kama kupima malaria mchakato ni mrefu na inahitajika wazazi wote waamue sasa unafikiri kama mwanamke hana uhakika nani ni baba wa mtoto atakubali iyo? Kuna mchizi wangu aliambiwa na demu wake mtoto sio wake jamaa akaendelea na mambo yake kiroho safi tu miaka imeenda demu kajirudi anadai mchizi ndo baba wa mtoto, mchizi akachomoa maana ashaambiwa mtoto sio wake baada ya wana kumkalisha chini kuongea nae akakubali kubeba majukumu ya matunzo ila ipimwe kwanza dna kuthibitisha kama mtoto ni wake demu akakataa kuchukua vipimo vya dna ukicheki mtoto menyewe hajafanana kabisa na mshkaji hv katika hali iyo utakubali tu kulea mtoto
 
Wanawake wenyewe ndio kama kina mobeto wanaobambikia watu mimba
 
1. Mwanamke kujishikisha mimba bila kuweka makubaliano na mwanaume ili tu amshike na kujenga mazingira ya kuishi nae.

2. Mwanamke kutokuwa mwaminifu yaani hajatulia mwanaume anakuwa ameshajua tu kuwa hapa sipo pekee yangu ila anakuwa anapiga tu kisela sasa siku akiambiwa kuwa mwanamke kawa mjamzito na anaambiwa ni yake balaa huwa linaanza hapo.

3. Ugumu wa maisha. Mwanaume anakwepa majukumu sababu ya kuogopa kulipa bili za uzazi na malezi plus familia.

4. Kukwepa kuwajibishwa na wanafamilia especially kama aliyepewa ujauzito ni mwanafunzi.



Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
 
Kupima dna sio rahisi tu kama kupima malaria mchakato ni mrefu na inahitajika wazazi wote waamue sasa unafikiri kama mwanamke hana uhakika nani ni baba wa mtoto atakubali iyo? Kuna mchizi wangu aliambiwa na demu wake mtoto sio wake jamaa akaendelea na mambo yake kiroho safi tu miaka imeenda demu kajirudi anadai mchizi ndo baba wa mtoto, mchizi akachomoa maana ashaambiwa mtoto sio wake baada ya wana kumkalisha chini kuongea nae akakubali kubeba majukumu ya matunzo ila ipimwe kwanza dna kuthibitisha kama mtoto ni wake demu akakataa kuchukua vipimo vya dna ukicheki mtoto menyewe hajafanana kabisa na mshkaji hv katika hali iyo utakubali tu kulea mtoto
Mbona hueleweki sasa? Mara useme kupima DNA TEST sio rahisi,mara useme demu mpaka akubali vipimo! Unaposema kupima DNA TEST sio rahisi unakua una maanisha nini? Malipo ya Test au utayari wa Mama wa mtoto?


Ukiona Mama wa mtoto anakataa kupima DNA TEST hapo kama mtu mzima unakua umesha pata jibu tayari.
 
Mbona hueleweki sasa? Mara useme kupima DNA TEST sio rahisi,mara useme demu mpaka akubali vipimo! Unaposema kupima DNA TEST unakua una maanisha nini? Malipo ya Test au utayari wa Mama wa mtoto?


Ukiona Mama wa mtoto anakataa kupima DNA TEST hapo kama mtu mzima unakua umesha pata jibu tayari.
Kupima dna sio rahisi maana gharama ni kubwa na inabidi muanze ustawi wa jamii kwanza kule watatilia mkazo zaidi kuwapatanisha hapo itachukua muda mrefu ili kama ulifanya maamuzi kwa mzuka muda ukipita hasira zitatulia ikishindikana kabisa kupatanishwa ndo mnaenda mahakamani kuchukua kibali na uko inabidi wote wawili mkubali kuchukua vipimo kama mama wa mtoto akikataa maana yake haitawezekana tena labda mwanaume uongee na dokta mpange plan ya kuchukua vipimo bila mama wa mtoto kujua au muende nje ya nchi nasikia kenya kupima dna ni dakika 0 tu
 
Wanaume wengi wanakwepa majukumu wanaile mtoto akikua atanitafuta
 
Hivi, mimba huwa ni ya mwanamme au ya mwanamke?
 
Mbona hueleweki sasa? Mara useme kupima DNA TEST sio rahisi,mara useme demu mpaka akubali vipimo! Unaposema kupima DNA TEST sio rahisi unakua una maanisha nini? Malipo ya Test au utayari wa Mama wa mtoto?


Ukiona Mama wa mtoto anakataa kupima DNA TEST hapo kama mtu mzima unakua umesha pata jibu tayari.
Tanzania utaambiwa mtoto ni wa kwako
 
Back
Top Bottom