Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nakazia hapa,privilege
Uafrika wa Elon ni kama Uafrika wa Malkia CleopatraIn reality akizaliwa Afrika na makaburu. Si mwafrika yule
Ndoto tunazo, Lakini huo usingizi wa kuzitimiza Upo?????, Akili Kichwani!!!!!!Anza na Kubadili uraia,pata uraia wa Marekani kisha endelea kuishi Bongo kama mgeni
kisha endelea fukuzia ndoto zako,penye nia pana njia ila hata uwe na nia gani bila kuwa mzungu hata kimaandishi hutoboi.
Huo ni mtazamo wakoKwa jibu hili kamwe hutoweza kuwa kama "Elon Musk"
Nimescreenshort hii , nitaiweka akiliniWaswahili wanasema MBUZI ni MBUZI hawezi kuwa Simba.
1. Mungu Ndiye anayetupa vipawa japo Africa ni mbovu.
2. Bidii yako ya upambanaji mbovu
3. Mazingira unayoishi mabovu
4. WATU wanaokuzunguka WA bovu
5.Rangi ni changamoto kubwa mno.. mbovu
6. Resources mbovu
7. ELIMU mbovu
8. SELIKALI mbovu
9. Ujinga WA Simba na yanga.
10. LAANA ya UJINGA UMASIKINI na MARADHI.
Jikubali JINSI ulivyo taka wewe kuwa kama wewe tengeneza Empire yako.
Katokea familia ya kishua baba yake tajiriHabari Wana jf
Mimi ni mtanzania niliye na shauku kubwa ya kuwa mtu mwenye ushawishi mkubwa duniani hasa wa kifedha , Elon Musk ndiye role model wangu.
Nikifatilia story za Elon Musk ili nijijenge zaidi
👉Kwenye Kati ya speech yake Elon alisisitiza watu wafute social media, basi nami sikuchelewa nikafuta account ya Facebook na Instagram
👉Elon Musk pia wakati anasimulia kuhusu story yake ya Maisha alisema at 13 alikuwa amejifunza coding lakini pia alikuwa anaweza kutengeneza application hapa nikapishana nae.
👉Kinacho ni inspire zaidi ni kwamba Elon ni kijana wa kiafrika tu from South Africa aliyesoma physics akaielewa.
Basi niambieni ni kitu gani kitanizuia Mimi kuwa Kama Elon Musk miaka 10 baadaye
ExactlyIn reality akizaliwa Afrika na makaburu. Si mwafrika yule
Mwalimu wangu Dokta George aliniambia huwezi kuwa na akili timamu kama unakula chakula cha chini ya Tsh. 3000 kwa mlo mmoja.Kwa jibu hili kamwe hutoweza kuwa kama "Elon Musk"
Mkuu ongezea nyama hapo kwenye aina ya vyakulaMwalimu wangu Dokta George aliniambia huwezi kuwa na akili timamu kama unakula chakula cha chini ya Tsh. 3000 kwa mlo mmoja.
Na alisisitiza kabisa, aina ya vyakula tunayotumia ina direct impact na uwezo wetu wa kufikiri.
Sina utaalamu sana but he mean Balance diet. To exploit the distinction of food varieties black Africans prefer compared to Whites unaweza kugoogle mkuu.Mkuu ongezea nyama hapo kwenye aina ya vyakula
OkSina utaalamu sana but he mean Balance diet. To exploit the distinction of food varieties black Africans prefer compared to Whites unaweza kugoogle mkuu.